... .chakula cha usiku kwenye GIZA..

au anunue karabai kabisaa! nimeona mahali wanauza kamtungi ka camping gas wamemodify kuwa taa,sipati picha mwanga wake! utakua unaita mbu na wadudu wengine kabisa!
nunua KOROBOI

mkitaka ku doo unaliswasha koroboi lako unaliweka uvunguni .....mwanga utakuwa hafifu asi utakuwa unatokea chini...ahh bmkubwa atalalamika teana na taa zako za mereran..
 
kuna mtu unakuta ndani kaweka bulb sijui ya watts 1000? sio joto na nahitaji sun goggles kabisa! acha ngeleja apandishe bei ya umeme tutie adabu,kha!
Hahaha!..kweli mpendwa, taa ya kukuzia kuku wa kisasa imefungwa bedroom!..kama sio kutiana ulemavu wa macho ni nini? Wacha bei ipande watu waweke energy seva..lol
 
kaka mlingoti hauhusiani na mambo yale ya phototropism!!...lol...lenyewe linapanda tu, ila mm nataka nione kila kitu ndio napata ladha bana!!
na wewe kuwa serious, usisimamishe mlingoti gizani, hapo mtaenda ngoma droo
 
Mtafutie blindfold.....kama hii

1.0x0.jpg
 
Badilisha taa za chumbani weka za rangi, taa za mwanga mkali zinakata stim kabisa, na c unajua tena na kaaibu flan inabidi mwanga hafifu kidogo then mambo yanaenda!
 
kwa kweli itabidi muhamishe venue muwe m na do usiku migombani kama mnashamba as you now lazima kutakuwa na natural light tena huwa inakuwa poa sana upepo kidogo full mkoba
 
Mwenyewe ataka kula chakula akiona, adondoa chenga moja moja, taratibu bila hofu.....Mtu na chake, mbona haya na aibu tena??????
 
nunua KOROBOI

mkitaka ku doo unaliswasha koroboi lako unaliweka uvunguni .....mwanga utakuwa hafifu asi utakuwa unatokea chini...ahh bmkubwa atalalamika teana na taa zako za mereran..

Acha utani wewe watachoma godoro alafu iwe balaa
 
kwahiyo kama sasa hivi kipindi cha mgao inakuaje?tafuta maujanja mengine siyo lazima kila siku kitandani.sometime hata bafuni poa.au hata hamuogi wote?aisee mimi haiwezekani.inabidi niione kozi huwa nalengesha bila kushika na mkono.so lazima nione sehemu inapoingia la sivyo hanioni hadi aweke mikono juu.mia
 
si lazima haki ya ndoa iwe usiku ... amka uwe unamtoa kidogo hata kumpeleka guest au hoteli za kawaida mnabadili mandhari nauhakika atabadilika
 
Back
Top Bottom