CHAKACHUA..... Ujiachie!!!!!

CHAKACHUA..... Ujiachie!!!!!

Hahahah! Nilikuwa nacheki mpira si unajua tena sisi ndiyo wadau wa MAN UTD..

Chana bateta wewe utaki kupeka, weka basi na wewe Avatar...lol.. Utapendeza

natafuta avatar la njemba moja niweke hapo. Lol.
Si nilikwambia cjaelewa ile kitu. Unifundishe vizuri bana.
 
Mkuu Krolo,
naomba ruksa nimtafutie avatar Husny'

Akikubali poa mkuu haina noma, lakini jamaa kibao walitaka kumtaftia akasema yeye haridhiki mpaka atafutiwe na kloro, na mimi si unajua kipindi hiki niko bizee.
 
Veve Husny' iko toto zuri sana napenda weka avatar ya mamalini hata pipoli kwisa ona napendeza sana..okey

mimi iko ambiwa kitu mara 1 fanyia kazi papo apo.
Veve taftia husninyo vata muzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom