CHAKACHUA..... Ujiachie!!!!!

CHAKACHUA..... Ujiachie!!!!!

mme wangu mtulivu. Nyumba ndogo anazisikia kwa jirani the boss.
Nyumba ndogo ndio nini tena ? nasi tunaishi nyumba ya vyumba 20 kama obama ? nitakosaje kutulia kwa hus a woman and a half.

Halaf na mimi ni shemeji yako usinitanie tanie kupita kiasi. Uporoto namheshim sana . ok
am watching you friend(kidhungu kwa msisitizo) juzi Hus akiwa usingizini kasema 'kloro acha uchokozi' sasa itabidi urafiki uwe wa kimachale aisee sina mzaha na kifaa changu hichi ni adimu chali yangu.
 
Nyumba ndogo ndio nini tena ? nasi tunaishi nyumba ya vyumba 20 kama obama ? nitakosaje kutulia kwa hus a woman and a half.

am watching you friend(kidhungu kwa msisitizo) juzi Hus akiwa usingizini kasema 'kloro acha uchokozi' sasa itabidi urafiki uwe wa kimachale aisee sina mzaha na kifaa changu hichi ni adimu chali yangu.

switiii tulale au bado kidogo?
 
am watching you friend(kidhungu kwa msisitizo) juzi Hus akiwa usingizini kasema 'kloro acha uchokozi' sasa itabidi urafiki uwe wa kimachale aisee sina mzaha na kifaa changu hichi ni adimu chali yangu.

Hakyanani mie nalinda tu swahiba, aspirini atasibitisha hili. hizo ndoto atakuwa labda dinner ulimpatia ugali bila mboga. wanasayansi wanasema ugali bila mboga unaleta ndoto ambazo hazina ushirikiano na medula oblongata.
 
hehehe mwambie uyooo!
japo sifurahii lakini ikibidi basi hata mimi naona bora ukuje tu
Yaani we una roho ya paka aisee hukati tamaa tu ? huyu si mlishindwana bahati ikaja kwangu ? napendekeza mrema akuachie uenyekiti wa TLP na ukomae aisee si unajuwa ukimpinga tu anakutimua lol!

switiii tulale au bado kidogo?
kuna kulala leo nataka kama juzi lol!
 
Yaani we una roho ya paka aisee hukati tamaa tu ? huyu si mlishindwana bahati ikaja kwangu ? napendekeza mrema akuachie uenyekiti wa TLP na ukomae aisee si unajuwa ukimpinga tu anakutimua lol!

Enzi zile tulikuwa domo zege bana sku hizi nimeimprove kinoma, naweza kuandika sentensi nne bila kurudia maneno. kulaleki!
 
sasa wakuu nalog out mida za kupiga chabo tayari.
mlale salama ,muamke salama, tumieni kinga mimba ni gharama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom