Chai ya maziwa ya Mwanamke

Nchini Uingereza mama mmoja amekuwa akikamua maziwa yake na kuyatumia kupikia chai ya wanafamilia.
Wanafamilia wamekiri chai hiyo kuwa na virutubisho vingi sana. Na wanaipenda

Kwa TZ wapo wanaosema yana ondoa hang-over Je ni kweli?

Itawafaa sana raia wa migodi mikubwa mana kabla ya kusaini pombe huwa inapimwa,kama ikizidi utoe maelezo
 
Life is just one damned thing after another.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hakuna kiumbe chochote duniani kinacho kunywa maziwa ya kiumbe mngine isipokua binadam tu, tunakunywa maziwa ya ngombe au mbuzi. Pia hakuna kiumbe kingine kinacho kunywa maziwa baada ya utoto, isipokua binadam tumejiweka kunywa maziwa hadi uzeeni. Binafsi I would rather drink human milk than cow or goat milk.

hujui kama paka na mbwa wanakunywa naziwa ya ngombe
 
Nipigie makofi basi wewe utatosha tu (kimjini mjini unatakiwa unitoe walau na kamsimbazi si unajua?)

Hawawezi kusifia tu kuwa yana virutubisho na haijathibitika!
Ningekuwa mwalimu wako ningewaambia watoto wengine wakupigie makofi kwa swali zuri.
 
hyo familia ya watu wangapi maana kama ni zaidi ya watano si inahitajika zaidi ya lita moja kila siku....spati picha basi huyo mmama alivyo!!
 
Wanafamilia wamejuaje ina virutubisho? Wana maabara kama ya tfda?
its true kuwa maziwa ya mama yana virutubisho sana thats why mtoto kama hakunyonya maziwa ya mama anakuwa na mapungufu flani......ila sasa sipati picha ladha ya hiyo chai inakuwaje!!
 
sio matamu mi hapa nanyonyesha hata yakiwa yanamwagika nikijaribu kuonja nashindwa kumeza, sio matamu, labda watoto wachanga ndo wanaona matamu ila kwa mtu mzima hapana

umenifanya na mimi ni test yangu ila kiukweli kuna ladha mflani hivi kama yanasukari hivii.

BTT, nikweli maziwa ya mama yanavirutubisho sana kwa anyonyae (mtoto). Ila sijawahi sikia wala kuona yakitumiwa na familia nzima kwa matumizi ya aina yoyote kama chakula ama kinywaji

na kama hayo mambo yapo basi itakuwa walimwengu tumefika mbali sasa, kwa ninavyojua nivigumu sana kutia kinywani kitu kitokanacho na binadamu mwenzio otherwise awe mtoto mchanga anyonyemaziwa ya mamaye au awe mpenzio anyonye maziwa, mate nk. Ila tofauti na hapo ni vigumu sana KUMESA!!!!
 
its true kuwa maziwa ya mama yana virutubisho sana thats why mtoto kama hakunyonya maziwa ya mama anakuwa na mapungufu flani......ila sasa sipati picha ladha ya hiyo chai inakuwaje!!
Lakini unafahamu kama daily requirement kwa ajili ya mtoto ni tafauti kabisa na ya mtu mzima? Manake tunaongelea nutrients kwa ajili ya baba na teenagers pia.
 
Lakini unafahamu kama daily requirement kwa ajili ya mtoto ni tafauti kabisa na ya mtu mzima? Manake tunaongelea nutrients kwa ajili ya baba na teenagers pia.
yeah nafahamu labda idea nliyokuwa nayo mimi ndo wanayotumia wao pia.
 
That is the last thing i,ll taste nikiwa na akili timamu. Sipati picha matiti ya huyo mama ni makubwa kiasi gani mpaka yatoshe kukamua maziwa ya familia, nadhani ni type ya akina mama ambao akipiga deki akiwa hajavaa kitu juu utadhani ana mikono minne.

mwambie wife wako akuonjeshe kidogo akijifungua, yale ni kwa watoto tu hayana ladha kabisa!!!
 
Ptuuuu!
Nyie bin adam, hamna kinyaa? Eti ninywe maziwa ya mama kama chai ya asubuhi?
Ptuuuu!
 
sio matamu mi hapa nanyonyesha hata yakiwa yanamwagika nikijaribu kuonja nashindwa kumeza, sio matamu, labda watoto wachanga ndo wanaona matamu ila kwa mtu mzima hapana

ukitaka kujua radha yake, muulize mmeo atakwambia.....
 
A woman can express up to 1.5 liters in a day kama mtoto hanyonyi lakini kama mtoto ananyonya mama anaweza kupata up to 1 litre. I have expressed breast milk for my 3 children wakati ninarudi kazini after maternity leave. big work but very rewarding.
hyo familia ya watu wangapi maana kama ni zaidi ya watano si inahitajika zaidi ya lita moja kila siku....spati picha basi huyo mmama alivyo!!
 
Nilishawahi kusikia kwenye kipindi cha Wanawake Live kuwa titi la kulia la mwanamke anayenyonyesha ni kwa ajili ya mumewe na la kushoto ni la mtoto.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom