Just Nana
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 500
- 1,001
Tuvute pumzi kidogo wakati tunaisubiria 'The Godfather'....
Baada ya kuhitimu chuo kila mtu alikua na matarajio yake, wapo waliojindaa kuyafikia hayo matarajio hata kabla hawajatoka chuo, wapo walisubiri wamalize kwanza ndio wapambanie ndoto zao, wapo kina John Kisomo walioona kua shahada moja haiwatoshi wakaamua kuendelea zaidi, wapo walioahirisha kwa sababu mbalimbali ikiwemo za kiafya, dada zetu walishindwa kuhitimu baadhi sababu ya kukimbilia kuanzisha familia mapema , wapo walioshindwa kumaliza sababu ya kufeli na nyingine nyingi...
Hao walioshindwa kumaliza tuwaachie kwanza, leo acha tujadili hawa waliofanikiwa kumaliza ...tuna graduates sita, kila mmoja atasimulia kisanga chake, mimi si ndio nimewakusanya bwana, acha nianze kusimulia kisha watafuatia...
IAM TONY...
Ukija nyumbani ukaulizia Tony utakesha sana, wazazi waliamua niitwe Anthony, ila washkaji zangu wakaona Tony litawasaidia kuokoa mda, nikachekecha nikaona limekaa kinyamwezi, nikaishi nalo tuuu, sina story ya kuogofya sana, ila hawa raia hawatosimulia story zao nisipojitoa muhanga...
Story inaanzia nilipokua mwaka wa pili, si ndio nishazoea life la chuo nini, tumekaa canteen usiku tunacheki watoto wakaleeeee wa first year, hata ujifanye star canteen utaingia tuuu, kwaio sehemu ya kwanza kuwacheki hawa watoto ilikua canteen, wakaja pale nini, Mungu fundi bwana, ule mwaka palikua na visu balaa, nikamuona mtoto mmoja hivi kisu cha kwenda, nikasema mwamba naishi nae huyu.
Yule manzi alikua anaitwa Angel, kisu ndugu msomaji, nikisema kisu naomba uelewe, nikamfatilia mtoto mzuri nikajua block anayokaa , hadi room, nikasema kwa leo inatosha. Nikawa sikakauki kwa viunga vya Ile block, hiyo siku natoka zangu room naenda pindi, mtoto huyu hapa, kawaka balaa, nikasema dammmn, huyu manzi nammudu fala mimi, mbona kama Kim kadarshian fulani hivi, ila mi mbishi, nikamuungia.
Malaika wema nao hawakunitupa mkono , mtoto mzuri alikua peke ake, nikasema acha nijaribu bahati yangu, akinimwaga fresh tuu, nikamsogelea kibaharia nini, nikaomba namba, dem akachomoa daah, nikachek kushoto kulia amani, nikasepa.
Ikapita kama wiki ivi tunatoka kufanya group assignment na kundi langu, kuna gari ikawa imepack mbele ya block ya kina Angel, ndinga ya maana , hapo kumbuka hata jina simfahamu yaani, alikua na nyodo yule manzi balaa, si unazijua pisi za Arusha kwa pozi. Ilikua kama bahati tu, mlango wa Ile gari ukafunguliwa, sijui hata nini kilinisibu nikachungulia kwa ile gari , si nikamuona yule mtoto mzuri, nikahisi kama baridi hivi imepita mwilini.
Angel alikua amekaa siti ya nyuma na huyo aliekua nae kwa gari, Angel akashuka kwa gari , jamaa nae akashuka wakawa kama wanabishana hivi, jamaa akamkumbatia Angel akawa kama anambembeleza, sikuhitaji mkalimani kuniambia kua yule ni sponsor wa Angel. Nikazipiga hatua maana washkaji walikua wameniacha kiaina , mi si nilijifanya FBI kufatilia maisha ya watu bwana, niliingia room akili kama imestuck, ile siku ndio nilijua kua mempemda yule mtoto, lakini kwa ile competition ntachomoa kweli?
Nilipambana kumzoea Angel lakini daaaah, ngoma ngumu...mtoto kakazaaa, nikaona isiwe kesi, nikabadili mbinu, nikachek kwa circle yake nani anazoeleka, nikaona kuna kamoja kapo machachari , nikasema huyuhuyu atafanikisha misheni yangu, mi sio mtu wa kushindwa yaani, nashindwaje kwa mfano. Nikaanza kumlia timing rafiki ake Angel, siku moja tu akajaa, yaani ningetaka ningepiga kabisaaaa, daaah...kuna madem jau sana,nikamwambia yooo slow down, nataka file la yule mwenzio, akaanza kuvimba pale, nikachomoa mwekundu akapoa.
Akanambia Yule utakesha humpati, kasema hataki watoto wadogo, 'I was like what? Yaani huyu dem anajikuta nani yaani, huwezi amini kasi ya kumsaka Angel ikazidi, yaani kama nipo kwa mashindano hivi, nikaapia huyu dem lazma nimpate, na siku nikimpata ataenda kusimulia wenzie.
Chawa wa Angel akanipenyezea ubuyu kua jumamosi watakua club, akanitajia jina la club maarufu tu pale Dom, nikasema hawa naishi nao mbona, subiri waone. Nikamchek bro wangu mmoja hivi yupo mkoa alinambiaga ukiwa Dom Kama una shida kuna mshikaji wangu atakusaidia, mwanangu sana, nikamwambia bro niko na shida ya usafiri weekend hii, si nishajua weakness ya Angel wanaume wenye magari, nikasema tutaenda sawa tuu mbona.
Bro wangu sio mtu wa mambo mengi,simu moja tuu nikaelekezwa kwa rafiki ake nikachukue gari Nkuhungu. Kifedha sikua mchovu kiivo za kuwalewesha wale madem usiku mmoja nisingekosa, nikatimba club waliyopo kina Angel nikakuta wameshaanza kuwaka, nikawaongeza drinks pale halafu nikapozi siti nyingine nikamuachia chawa afanye kazi yake.
Hata dakika kumi hazikuisha wakaniomba niwajoin, nikasema aliyeumba hela alaaniwe, mtoto kaisha huyu walahi...tukapiga gambe pale hadi mida ya wanga, Angel kawaka mbaya, mara anilalie mara anibusu, aiseee sikuamini kama ndie yule Angel ananikaziaga vile chuo. mda wa kusepa nikawakodia tax wale wengine nikasepa na Angel.
Ule usiku sikufanya makosa, nilijua tu naweza nisipate Ile nafasi tena, huyu dem wa wenye nazo kwaio lazma niache alama. Nikamwambia tuingie kuoga kwanza ma mtu, she was drunk ni kama kila kitu nilifanya mwenyewe yaani, nisiwachoshe sana nilichapa Ile manzi hadi ikaniambia Ton naomba nioe, niko kuoana tena jamani...mi nasoma mwenzio, sikuuza mechi wadau ,mi sio fala kiivo, kwa life style la Angel dizaini wanapita wengi, ila ile fahari nimekula manzi mkali daaah.
Baada ya kuhitimu chuo kila mtu alikua na matarajio yake, wapo waliojindaa kuyafikia hayo matarajio hata kabla hawajatoka chuo, wapo walisubiri wamalize kwanza ndio wapambanie ndoto zao, wapo kina John Kisomo walioona kua shahada moja haiwatoshi wakaamua kuendelea zaidi, wapo walioahirisha kwa sababu mbalimbali ikiwemo za kiafya, dada zetu walishindwa kuhitimu baadhi sababu ya kukimbilia kuanzisha familia mapema , wapo walioshindwa kumaliza sababu ya kufeli na nyingine nyingi...
Hao walioshindwa kumaliza tuwaachie kwanza, leo acha tujadili hawa waliofanikiwa kumaliza ...tuna graduates sita, kila mmoja atasimulia kisanga chake, mimi si ndio nimewakusanya bwana, acha nianze kusimulia kisha watafuatia...
IAM TONY...
Ukija nyumbani ukaulizia Tony utakesha sana, wazazi waliamua niitwe Anthony, ila washkaji zangu wakaona Tony litawasaidia kuokoa mda, nikachekecha nikaona limekaa kinyamwezi, nikaishi nalo tuuu, sina story ya kuogofya sana, ila hawa raia hawatosimulia story zao nisipojitoa muhanga...
Story inaanzia nilipokua mwaka wa pili, si ndio nishazoea life la chuo nini, tumekaa canteen usiku tunacheki watoto wakaleeeee wa first year, hata ujifanye star canteen utaingia tuuu, kwaio sehemu ya kwanza kuwacheki hawa watoto ilikua canteen, wakaja pale nini, Mungu fundi bwana, ule mwaka palikua na visu balaa, nikamuona mtoto mmoja hivi kisu cha kwenda, nikasema mwamba naishi nae huyu.
Yule manzi alikua anaitwa Angel, kisu ndugu msomaji, nikisema kisu naomba uelewe, nikamfatilia mtoto mzuri nikajua block anayokaa , hadi room, nikasema kwa leo inatosha. Nikawa sikakauki kwa viunga vya Ile block, hiyo siku natoka zangu room naenda pindi, mtoto huyu hapa, kawaka balaa, nikasema dammmn, huyu manzi nammudu fala mimi, mbona kama Kim kadarshian fulani hivi, ila mi mbishi, nikamuungia.
Malaika wema nao hawakunitupa mkono , mtoto mzuri alikua peke ake, nikasema acha nijaribu bahati yangu, akinimwaga fresh tuu, nikamsogelea kibaharia nini, nikaomba namba, dem akachomoa daah, nikachek kushoto kulia amani, nikasepa.
Ikapita kama wiki ivi tunatoka kufanya group assignment na kundi langu, kuna gari ikawa imepack mbele ya block ya kina Angel, ndinga ya maana , hapo kumbuka hata jina simfahamu yaani, alikua na nyodo yule manzi balaa, si unazijua pisi za Arusha kwa pozi. Ilikua kama bahati tu, mlango wa Ile gari ukafunguliwa, sijui hata nini kilinisibu nikachungulia kwa ile gari , si nikamuona yule mtoto mzuri, nikahisi kama baridi hivi imepita mwilini.
Angel alikua amekaa siti ya nyuma na huyo aliekua nae kwa gari, Angel akashuka kwa gari , jamaa nae akashuka wakawa kama wanabishana hivi, jamaa akamkumbatia Angel akawa kama anambembeleza, sikuhitaji mkalimani kuniambia kua yule ni sponsor wa Angel. Nikazipiga hatua maana washkaji walikua wameniacha kiaina , mi si nilijifanya FBI kufatilia maisha ya watu bwana, niliingia room akili kama imestuck, ile siku ndio nilijua kua mempemda yule mtoto, lakini kwa ile competition ntachomoa kweli?
Nilipambana kumzoea Angel lakini daaaah, ngoma ngumu...mtoto kakazaaa, nikaona isiwe kesi, nikabadili mbinu, nikachek kwa circle yake nani anazoeleka, nikaona kuna kamoja kapo machachari , nikasema huyuhuyu atafanikisha misheni yangu, mi sio mtu wa kushindwa yaani, nashindwaje kwa mfano. Nikaanza kumlia timing rafiki ake Angel, siku moja tu akajaa, yaani ningetaka ningepiga kabisaaaa, daaah...kuna madem jau sana,nikamwambia yooo slow down, nataka file la yule mwenzio, akaanza kuvimba pale, nikachomoa mwekundu akapoa.
Akanambia Yule utakesha humpati, kasema hataki watoto wadogo, 'I was like what? Yaani huyu dem anajikuta nani yaani, huwezi amini kasi ya kumsaka Angel ikazidi, yaani kama nipo kwa mashindano hivi, nikaapia huyu dem lazma nimpate, na siku nikimpata ataenda kusimulia wenzie.
Chawa wa Angel akanipenyezea ubuyu kua jumamosi watakua club, akanitajia jina la club maarufu tu pale Dom, nikasema hawa naishi nao mbona, subiri waone. Nikamchek bro wangu mmoja hivi yupo mkoa alinambiaga ukiwa Dom Kama una shida kuna mshikaji wangu atakusaidia, mwanangu sana, nikamwambia bro niko na shida ya usafiri weekend hii, si nishajua weakness ya Angel wanaume wenye magari, nikasema tutaenda sawa tuu mbona.
Bro wangu sio mtu wa mambo mengi,simu moja tuu nikaelekezwa kwa rafiki ake nikachukue gari Nkuhungu. Kifedha sikua mchovu kiivo za kuwalewesha wale madem usiku mmoja nisingekosa, nikatimba club waliyopo kina Angel nikakuta wameshaanza kuwaka, nikawaongeza drinks pale halafu nikapozi siti nyingine nikamuachia chawa afanye kazi yake.
Hata dakika kumi hazikuisha wakaniomba niwajoin, nikasema aliyeumba hela alaaniwe, mtoto kaisha huyu walahi...tukapiga gambe pale hadi mida ya wanga, Angel kawaka mbaya, mara anilalie mara anibusu, aiseee sikuamini kama ndie yule Angel ananikaziaga vile chuo. mda wa kusepa nikawakodia tax wale wengine nikasepa na Angel.
Ule usiku sikufanya makosa, nilijua tu naweza nisipate Ile nafasi tena, huyu dem wa wenye nazo kwaio lazma niache alama. Nikamwambia tuingie kuoga kwanza ma mtu, she was drunk ni kama kila kitu nilifanya mwenyewe yaani, nisiwachoshe sana nilichapa Ile manzi hadi ikaniambia Ton naomba nioe, niko kuoana tena jamani...mi nasoma mwenzio, sikuuza mechi wadau ,mi sio fala kiivo, kwa life style la Angel dizaini wanapita wengi, ila ile fahari nimekula manzi mkali daaah.