TANMO ungemdediketia wimbo kwa kiswahili......................By the way na mimi nadediketi nyimbo za zamani tu...
1. Hiki masikitiko
nauliziaaa jojina ni lini utarudi.................Jojina wa mamaa
4. Huu unaitwa Jogoo la shamba wa Mbaraka Mwishehe pia nadediketi kwa Bishanga
Hiloo ooh ulijidai mbabe sana
leo umepigwa na kijana mdogo aibu imekutokaa
Ulipotoka shamba kuingia mjini ulianza kudharau wenzako
Leo umepigwa na kijana mdogo aibu imekutokaa
Cantalia nakupa .,.nilikueleza toka zamani kuwa mchumba wako ni....nenda kwa wazazi..
hapo lazima atacheza The secretary, lol
Hawakwenda bar walikuwa wanajiita eti watalii wa ndani.
Bibie Kongosho, hebu amka kuna watu wanajiita Erickb52 na Mamndenyi wanatufanyia umbea.....
Cantalisia pokea kitu Betty cha Juma Kakere
Hahahaa shem umenikumbusha mbali sana lolHahaha!asante shem wangu nami nakutupia kitu cha Kidali po cha mista naic hahaha!
Naona mshamaliza shughuli teh Kongosho hoii na si kawaida yake inaonekana jana ulitoka kivingine musee...sasa jioni ile mlikuwa mnaenda feri kufanyaje?
Teh huyu anafaa kupewa MwanamekaSwahiba habari ya uzima wako? Umenisusaje? Hebu pokea kitu Shauri yako (waimbaji siwajui bana)