Ndugu wanajf kuna watu walikuwa wanakesha humu na kuimba ngonjera kuwa CDM hawata simamisha mgombea kule kiembe Samaki... Habari rasmu ni kuwa Bwana Hamis Juma Rashid amepwndekezwa na chama cha chadema wilaya ya magharibi kupeperusha Bendera ya chama hicho kwenye kiti cha baraza la wawakilisha.
Mkutano mkuu wa jimbo la kiembe samaki ulikaa 13.01.2014 na kuhudhuriwa na wajumbe 136 huku mgombea huyo akipata kura 129 na kura 7 zikimkataa.
Hivyo chadema imesimamisha mgombea na ushindi ni lazima
Mkutano mkuu wa jimbo la kiembe samaki ulikaa 13.01.2014 na kuhudhuriwa na wajumbe 136 huku mgombea huyo akipata kura 129 na kura 7 zikimkataa.
Hivyo chadema imesimamisha mgombea na ushindi ni lazima