Chama kinachoongoza kihuni, lazima kitoe serikali ya kihuni. Pote duniani demokrasia ni njema sana huwezi kushindwa tena kwa idadi yawazi ukalazimisha kutaka kushinda!
Wale watumishi wanaoshiriki ugolo huu wanawalakini kichwani mwao
Tangu 1961-2014 zoezi la kumpata Meya wa jiji la Dar haikuwahi kuchukua miezi minne, na kwa mujibu wa barua ya zuio inasogeza miezi sita baadae!
Katika utawala bora huwezi kuvunja kanuni moja kisha ukajidai ni mfuasi wa utawala bora
Huwezi kupambana na rushwa, uzembekazini, matumizi mabaya ya madaraka na uwajibikaji iwapo tu unawafunza watumishi kupindisha taratibu.
Wanaokusaidia kupindisha kanuni, ni haohao watatumia udhaifu wako kufanya yao serikalini
Majipu yanayotumbuliwa yamelishwa blue band, asali na matunda ndio yanayojaribu kukuza mengine kama haya!
Kutawaliwa si tatizo, tatizo no kuongozwa na chama kisichona mwelekeo
Wale watumishi wanaoshiriki ugolo huu wanawalakini kichwani mwao
Tangu 1961-2014 zoezi la kumpata Meya wa jiji la Dar haikuwahi kuchukua miezi minne, na kwa mujibu wa barua ya zuio inasogeza miezi sita baadae!
Katika utawala bora huwezi kuvunja kanuni moja kisha ukajidai ni mfuasi wa utawala bora
Huwezi kupambana na rushwa, uzembekazini, matumizi mabaya ya madaraka na uwajibikaji iwapo tu unawafunza watumishi kupindisha taratibu.
Wanaokusaidia kupindisha kanuni, ni haohao watatumia udhaifu wako kufanya yao serikalini
Majipu yanayotumbuliwa yamelishwa blue band, asali na matunda ndio yanayojaribu kukuza mengine kama haya!
Kutawaliwa si tatizo, tatizo no kuongozwa na chama kisichona mwelekeo