Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,871
Hakuna marefu yasiyokua na mwisho naliki watanzania wanayaona haya na mwisho utafika tu
Ukiambiwa ni jipu basi hizi ndio dalili za mwishoHawa watu (CCM) hawana haya wala soni,mahakamani wameweka zuio kwa sababu ipi?
Fuata hiyo link(bolded)Tamko liko wapi hapo.
anachofanya Magufuli anaangalia sehemu ambazo hana manufaa nazo ndiyo anatumbua huko kwenye % hagusi...Ni dhahiri kabisa kuwa CCM ikiongozwa na John Pombe Mtumbuamajipu haina nia ya dhati ya kumaliza ufisadi nchini.
Tokea sherehe za ccm sura yake watanzania wameshaiyona mazingaombwe yanayofanyika nchi hii inawajengea Watanzania zisizokua na kifanimnafanya makosa makubwa sana kutegemea kwamba,Makufuli atajiingiza ili kuleta haki kati ya ccm na vyama vingine kila mara mara nawaambia sura kamili ya Makufuli mtaifahamu pale panapotakikana haki kati ya ccm na vyama vingine, kwa nini hamtaki kufahamu hilo? mnakuwa kama wana ccm
Kamanda Freeman Mbowe amewataja hao ndio Majipu papa sasa nafikiri wanaenda kupozasasa kwa nini naelewa rais mstaafu wote wawili kukimbilia Ikulu.majipu majipu
swissme
Hapo hakuna Majipu kua MabushaKama meya wa jiji LA arusha na madiwani wake wameibua ufisadi wa bil 22.2 wa kodi ya pango tu je kwa dar nahisi kutakuwa na tsunami ya ufisadi.It's very shame and bad and painful kwa ufisadi huu wa kutisha unao ibuliwa hata wazungu wanatushangaa we are least developed country but our citizen are very rich.
Tuliza akili utaelewaMbona taarifa yenyewe haieleweki?.
Ccm inajivua nepi yenyeweHakuna Mahakama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoketi na kuzuia uchaguzi wa Meya uliopangwa kufanyika leo 27/2/2016, Hakuna mahakama iliyowahi kuzuia uchaguzi wa tarehe tajwa hapo juu,
Jana ombi la ccm lilizuiwa, baada ya kuzuiwa, CCM kwakushirikiana na Kaimu Mkurugenzi wamekwenda ofisini ya mkurugenzi na kubeba nakala ya zuio la 05/2/2016 ambalo lilihusu uchaguzi ulioahirishwa wiki tatu zilizopita.
Huu ni uhalifu wa kidemorasia na ni uchochezi mkubwa wa kisiasa unaohatarisha amani ya jiji, Mh Rais ambae pia ni Waziri wa TAMISEMI hili ukilifumbia macho taswara ya nchi na utawala wako vitatetereka.
CCM ni genge la wahuni....Hakuna Mahakama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoketi na kuzuia uchaguzi wa Meya uliopangwa kufanyika leo 27/2/2016, Hakuna mahakama iliyowahi kuzuia uchaguzi wa tarehe tajwa hapo juu,
Jana ombi la ccm lilizuiwa, baada ya kuzuiwa, CCM kwakushirikiana na Kaimu Mkurugenzi wamekwenda ofisini ya mkurugenzi na kubeba nakala ya zuio la 05/2/2016 ambalo lilihusu uchaguzi ulioahirishwa wiki tatu zilizopita.
Huu ni uhalifu wa kidemorasia na ni uchochezi mkubwa wa kisiasa unaohatarisha amani ya jiji, Mh Rais ambae pia ni Waziri wa TAMISEMI hili ukilifumbia macho taswara ya nchi na utawala wako vitatetereka.