PreGE2025 CHADEMA yaripoti kifo cha mtu mmoja

PreGE2025 CHADEMA yaripoti kifo cha mtu mmoja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Mwenzao hawamjui jina!?..kama kweli basi rip,na si jambo zuri kuuana
Inasemekana hiyo ndio sign ya kuwa dola ipo. Yaani dola inajitambulisha uwepo wake kwa kuua waliohudhiria mahakamani!
 
Shetani ni wewe, ba wenzio wote mnaojifanya Nchi hii mnahaki miliki...

Aende kwao wapi, hii ni Tanzania na yeye ni Rais wa Tanzania, wewe ukiona huko kwenu sio Tanzania toka wewe ukafie mbele huko!!

Ngedere yeyote atakaye leta choko choko za kuharibu Amani yetu, atashughulikiwa...
Safi kabisa.Tandika nyumbu hao
 
Chadema wanataka kutumia mbinu za Hamas kutikisa mzinga wa Nyuki alafu unapiga kelele
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Viongozi wa Chama hicho akiwemo Makamu Mwenyekiti, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, na Mkurugenzi wa Fedha na Uchumi wakiwa pamoja na wengine sita wamefikishwa katika Hospitali ya Mwananyamala kwa matibabu baada ya kupigwa na kutelekezwa na Polisi maeneo ya Mabwepande Jijini Dar es salaam huku Mtu mmoja kati yao akiripotiwa kufariki.

Majina ya waliotambulika hadi sasa ni Peter Alex Kilomba, Emmanuel Severin, Robert Mawege, Kanifa Musa, Emmanuel Modest Munihawa na Nasri Abdallah Saidi ambapo Chama hicho kimesema Mtu aliyefariki ameshindwa kutambuliwa kwa haraka kutokana na Polisi kutoushusha mwili wake Hospitalini hapo ambako CHADEMA walikuwa wakiusubiria.

“Hali ya Naibu Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa Fedha ni mbaya, na taratibu za kuwapeleka katika Hospitali ya juu kwa matibabu maalum zinaendelea, ukatili huu haustahili kupita kimya, tunaendelea kufuatilia kwa karibu hatua lazima zichukuliwe”

@AyoTV_ imelitafuta Jeshi la Polisi kuhusu taarifa za kifo hicho lakini juhudi hizo hazijazaa matunda, tunaendelea kufuatilia zaidi taarifa hizi. #MillardAyoUView attachment 3314158PDATES
Mamlaka zilitoa tahadhari mapema
 
Si wanasema kinuke sasa kifo cha mtu mmoja tu wanaripoti je kikinuka kweli hali itakuaje au ndo kina Lema na Lissu watakimbilia Canada na Belgium sisi tuendelee kuuuna
 
VYAMA VYENYE MAONO VIMEKUBALI KUSHIRIKI UCHAGUZI. PILITICS IS CALCULATION NOT PROVOCATION.
Ni kweli, maana viko tayari kusubiri hisani ya ccm kwenye uchaguzi. Cdm wamekataa ujinga huo. Kama ccm wanaamini watatawala nchi hii siku zote, basi wasubiri kuona wasichotegemea.
 
Back
Top Bottom