hebu jaribu kutafuta watu wake wakaribu ilitujue kama ni kweli...Hii maneno inaweza kuwa kweli jamaa anayeshughulika na masuala ya IT namfahamu sana nimejaribu kumtafuta tangu jana simpati,sasa naanza kuelewa Tanzania inakwenda wapi tuliwacheka Kenya tukadhani sisi tuna akili sana kumbe wapi ?????????.
Jamani kuna tetesi ya mtu muhimu mmoja wa chadema aliekuwa akifuatilia database in making comparison of what has been published by NEC has been lost since yesterday.
A case has been reported to Oysterbay police station.
Mwenye zaidi ajalizie
Nawakilisha
Hii maneno inaweza kuwa kweli jamaa anayeshughulika na masuala ya IT namfahamu sana nimejaribu kumtafuta tangu jana simpati,sasa naanza kuelewa Tanzania inakwenda wapi tuliwacheka Kenya tukadhani sisi tuna akili sana kumbe wapi ?????????.
Mkuu Ngongo,
Tanzania ilibadilika tangu JK aingie madarakani, huyu ni populist na hulka ya watu wa aina hii ni udikteta. Siku zote uhakikisha umaarufu wao haushuki, hivyo wako tayari kufanya lolote. Uchaguzi wa mwaka huu umegubikwa na uozo mwingi uliolenga kulinda umaarufu wa JK. Tatizo kwake sio ushindi tu, bali ni ushindi wa kiwango gani, maandalizi yote ilikuwa kuhakikisha sio tu kuwa anashinda bali kwa kura nyingi ili kulinda umaarufu wake.
JK hana tofauti na kina Hitler na Iddi Amin, hawa wote walingia madarakani kwa umaarufu, ulipoanza kuporomoka wakaulinda kwa gharama kubwa, wakageuka kuwa madikteta. Kwa hiyo sito shangaa hii taarifa kuwa ya kweli kwani kazi alokuwa akiifanya huyo kijana inahatarisha umaarufu wake, inamuumbua kwa kufichua uchakachuaji matokeo.
Kidogo kidogo sura halisi ya udictator wa jk na serikali yake unaanza kujidhihirisha. Tunaomba wadau mtupatie vielelezo zaidi na hata jina la mlengwa ili watu wavuvuzele peupe. Maana hakuna kitu mwizi asichopenda kama kujulikana kwa jamii inayomzunguka kuwa mwizi.
Nafikiri unatakiwa kukua kiakili na kimwili, ili uweze kutoa mchango wa maana. Si kila jambo ni la kufanyia mzaha!mmepita baa zote mjini?
Nafikiri unatakiwa kukua kiakili na kimwili, ili uweze kutoa mchango wa maana. Si kila jambo ni la kufanyia mzaha!
Jamani suala hilo ni kweli dakika kama tano nimeongea na mnyika naye amenidhibitishia kuwa ni kweli ila hawawezi li associatte jambo hilo na matokeo ya uchaguzi bado wanafanya follow up
mzee gomezi
Daaaaah Ngoja nikafuatilie......manake huyu mkwere sasa anavuka mipaka
Wana mageuzi,
Kusema kweli sitashanga kwani nimekuwa nasikia vitisho kutoka kwa viongozi wa juu wa CCM ambao nimepata privilege ya kufaamiana nao kwa karibu.
Maneno wanayoniambia ni kwamba utaona CCM haitanyamaza kimya na tena hao viongozi wenu tutawashughulikia. Wananieleza hivi huku wakinionya mimi niwe makini yasije yakanikuta yakunikuta.
Inaelekea serekali ya CCM inamipango ya dahati ya kumaliza upinzani kwa kuwapaka viongozi wake na kuugandamiza upinzani.
Jamani kuna tetesi ya mtu muhimu mmoja wa chadema aliekuwa akifuatilia database in making comparison of what has been published by NEC has been lost since yesterday.
A case has been reported to Oysterbay police station.
Mwenye zaidi ajalizie
Nawakilisha