Katika kuthibitisha ule usemi wa kwamba hata akija malaika kugombea CCM atakuwa mwizi ama jambazi, na takataliwa na wananchi tu
Leo hii imethibika katika kata ya Doma wilaya ya Kilosa baada ya uchaguzi mdogo kufanyika kufuatia kufariki kwa diwani wa kata hiyo alietokea CCM kufariki dunia, na hatimaye mgombea kutoka UKAWA/CHADEMA Kuibuka mshindi kwa kupata kura 515 dhidi ya mgombea wa CCM alieangikia pua kwa kupata kura 312.
CCM wanaanza kuisoma namba wenyewe.
cc ; Mwenyekiti wa CCM - Taifa.