Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
Unajua wakati mwingine tuwe wazi na tutetee vitu kisomi...hii thread iliyoletwa haina mashiko,na haiaminiki hata kidogo..kesi ya Kiwanga na sylivester ni moja na chama kilikwisha wawekea wakili ambaye ni Tundu Lissu..Anapokuja mtu akaweka taarifa ya kikao cha tarehe ambayo hata hatujafika lazima uwe na shaka na uwezo wake wa kudanganya..na alipogundua hilo ameenda kubadili ili ifanane na mazingira ya uongo wake...huu ni upuuzi ambao unafaa kutetewa na watu wa magamba chini ya faizafoxy na Mwitaeni humu25...
mmekaa kujilindalinda tu wakati CDM inajulikana kwa hojana si viroja na majibu ya kunya kama ya jasusi...angalia ulivyojibu hoja hapa na nenda kwa jasusi angalia upupu alioandika...ifikie muda tutofautishe seniors na wageni humu.......
tarehe inaweza kukosewa bado mtu akajibiwa na akaondoka na aibu zake........MTM anasema njia ya mwongo fupi, sasa ww only 83 mfundishe Jasusi.
Hivi wanajamvi ni wote mna mawazo kama haya yangu? ....kwamba Waberoya ni mmoja wa viongozi maarufu wa CHADEMA ambaye ana chuki na Wachaga?
???????
wote wakiwaza kama wewe watafikia kuwachukia mama na baba zao wachaga ambao ni umaarufu