Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Acha ujinga leo tar.ngapi? Pambafu rudi shule ya kata ujue kusoma tarehe.
Ku argue na Mwita 25 is like talking with an animal. Alishajiita Mbwa mods wakaifuta hiyo id!
Kuhusu mada, kwanza haina ukweli kwasababu wakili wao ni Lissu. Kwa huo uongo tu wa kusema wakili wao ni mzee sana inatosha kui nullfy story nzima kwa kuwa tayari ina doubts.