Dijina40
JF-Expert Member
- May 17, 2010
- 727
- 242
nimesikitishwa sana na ubaguzi uliopo ndani ya chadema,hivi karibuni ktk harakati za chadema kuhakikisha kuwa wanashinda uchaguzi igunga, mbunge wa viti maalumu na wenzake walimdharilisha kwa kumvua hijabu mkuu wa wilaya igunga kwa kuhisi alikuwa anapigia kampeni ccm.mbunge huyo susan kiwanga amefikishwa mahakamani na wenzake kwa kosa hilo, mbunge huyo alikuwa akilalamika hayo muda mfupi kabla ya kuanza semina ya viongozi wa cdm tarehe 7/12/2011 mjini morogoro ktk ukumbi wa BZ hotel, namnukuu "nimetoka tabora kwenye kesi hivyo sikupata haya mafunzo, kesi yenyewe chama kimeniachia mwenyewe.. na hata wakili anayenitetea ni wa kujitolea na ni mzee sana hivyo huwa muda mrefu huwa anasinzia mahakamani kwa hiyo mambo ni magumu kwangu kwa upande wa kesi, unajua sisi wabunge ambao hatutoki kaskazini hatuthaminiwi kabisa ndani ya chama japokuwa mimi nilijitolea kuzunguka nchi nzima ktk kampeni za urais na slaa" . hata hivyo kuonyesha kukata tamaa kwa mbunge huyo hata alivyoingia ndani ya ukumbi wakati wa kujitambulisha alisema "huwezi kuwa kiongozi bila kufungwa" susan aliponda sana mfumo wa chama kuwajali hasa wabunge wa kichaga kama lema, kiwia ambaye ndiye alikuwa mkufunzi siku hiyo.
....................................