Unafiki mwingine wa wanachadema kwenye escrow zito mlimuona shujaa leo adui shame n u waganga njaa wa ufpa
Kazi kubwa ambayo Zitto Zuberi kabwe pamoja na wajinga wachache wanaodhani kuwa yeye ndio chadema wajifunze kwa julias Malema wa ANC,
Kazi anayopaswa kujua ni kutubu,chadema inaweza kukaa kimya au ikachukua hatua,
Chadema haitahesabika kuwa inapambana na mtu,bali itaelekeza nguvu zake kupambana na taasisi iliyojaa hila,na uovu wa kila namna.
watanzania hawamuhitaji zitto,wanahitaji team ambayo imesalimisha mawazo, utashi na malengo ya mmoja mmoja kwa matashi ya watu wengi,
Chadema ndio lengo lake, ccm mtumieni Zitto kwenye propaganda sasa,asipojirekebisha akatubu,akarudi kundini kwa moyo mpya ahesabu maumivu.
Hueezi kuwa na kiongozi ambaye,hayuko tayari kukusanya nguvu,kusalimisha matakwa yake kwa matakwa ya wengi,ukataka uwe juu.
Bila Zitto chadema itasonga mbele peopleeeezzzz!