CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

Na aliyepata hiyo tenda ya kuziagiza ni nani?

Mngekuwa mnahoji mikataba anayosaini Dr. Dhaifu kama mnavyohoji mambo ya cdm, taifa lingekuwa hatua 2 mbele kimaendeleo na uwazi.
 
Kuna ufisadi mkubwa sana kwenye mchakato wa manunuzi ya hizo pikipiki, ndio maana tunahoji.
Mhuni mkubwa,tunaomba ukahoji zile bil 200 toka akaunti ya ESROW zimepelekwa wapi?, je,bajeti ya ziara za kinana umetoka wapi mbona hatukutangaziwa?
Chadema ilitoa tangazo kwa kupokea pesa toka kwa marafiki zao wa ujerumani,na leo umeambiwa pikipiki,tueleze pia hivi division iv ya pointi 38 ni sawa na division ngapi pale USA,Japan,Nigeria,south Afrika,kenya na Botswana?, jadili haya si kupinga uingizwaji wa pikipiki ambazo zimewekwa wazi,kuliko mlivyokwapua pesa kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeingiza pikipiki 252 zitakazo tawanywa kwenye maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha zoezi la CHADEMA ni msingi ambalo linaendelea nchi nzima likisimamiwa na kanda zilizoundwa mapema mwaka jana (2013), huu ni muendelezo wa kuziwezesha kanda ziweze kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi kwa maendeleo endelevu ya chama.

Pikipiki hizo pia zitakuwa msaada mkubwa katika kipindi hiki ambapo chaguzi ndani ya chama zinaendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini, lakini pia ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji unao tarajiwa kufanyika mapema mwezi Oktoba.

Lakini pia itakuwa muendelezo wa kuziimarisha kanda za chama, kama mtakumbuka kwenye uzinduzi wa kanda kila kanda ilipatiwa gari mpya aina ya Ford Ranger, Pikipiki mpya zenye brand ya CHADEMA M4C zaidi 126 zenye PA system zenye uwezo wakuhutubia umati wa watu kuanzia 500 hadi 1000 na Megaphone ndogo zaidi ya 256.



View attachment 162786
Sehemu ya Shehena ya pikipi zilizowaingizwa jana

View attachment 162795

Wakati watendaji wa chama makao makuu wakiwa busy na kushirik kupokea pikipiki hizo, jana kuna uzi uliwekwa hapa ukiwa na kichwa "Watendaji wa CHADEMA makao makuu kugoma", na eti wanataka kumfungia katibu mkuu Dr Slaa ofisini ili kushinikiza kuongeza mishahara; Tuliupuuza kwa kuwa haukuwa na ukweli wowote bali ulijaa hekaya za kutunga zisizo kuwa na msingi kwa kuwa CHADEMA kinafanya mambo yake kwa utaratibu.

Mapambano yanaendelea ili kuzidi kuwaamsha watanzania dhidi ya ufisadi, ubadhirifu wa mali na nyara za umma na ukandamizaji wa haki za binadamu. Mpaka kieleweke.

View attachment 162798

Ni jambo zuri sana kwa ubunifu huo,ni rahisi pia kwa pikipiki kuyafikia maeneo mengi yalio ndani amabayo ni vigumu magari kufika.Chadema songeni mbele na Mungu atawasaidia
 
Good move! Ila kuna mkakati gani wa kuziendesha bila kuishia kufa na kutupwa kwenye hizo ofisi?

Pesa ya uendeshaji je?
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeingiza pikipiki 252 zitakazo tawanywa kwenye maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha zoezi la CHADEMA ni msingi ambalo linaendelea nchi nzima likisimamiwa na kanda zilizoundwa mapema mwaka jana (2013), huu ni muendelezo wa kuziwezesha kanda ziweze kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi kwa maendeleo endelevu ya chama.

Pikipiki hizo pia zitakuwa msaada mkubwa katika kipindi hiki ambapo chaguzi ndani ya chama zinaendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini, lakini pia ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji unao tarajiwa kufanyika mapema mwezi Oktoba.

Lakini pia itakuwa muendelezo wa kuziimarisha kanda za chama, kama mtakumbuka kwenye uzinduzi wa kanda kila kanda ilipatiwa gari mpya aina ya Ford Ranger, Pikipiki mpya zenye brand ya CHADEMA M4C zaidi 126 zenye PA system zenye uwezo wakuhutubia umati wa watu kuanzia 500 hadi 1000 na Megaphone ndogo zaidi ya 256.



View attachment 162786
Sehemu ya Shehena ya pikipi zilizowaingizwa jana

View attachment 162795

Wakati watendaji wa chama makao makuu wakiwa busy na kushirik kupokea pikipiki hizo, jana kuna uzi uliwekwa hapa ukiwa na kichwa "Watendaji wa CHADEMA makao makuu kugoma", na eti wanataka kumfungia katibu mkuu Dr Slaa ofisini ili kushinikiza kuongeza mishahara; Tuliupuuza kwa kuwa haukuwa na ukweli wowote bali ulijaa hekaya za kutunga zisizo kuwa na msingi kwa kuwa CHADEMA kinafanya mambo yake kwa utaratibu.

Mapambano yanaendelea ili kuzidi kuwaamsha watanzania dhidi ya ufisadi, ubadhirifu wa mali na nyara za umma na ukandamizaji wa haki za binadamu. Mpaka kieleweke.

View attachment 162798
Hongera chadema ni chama cha kwanza Tanzania,tangu mageuzi kuasisiwa kuwa na vitendea kazi kama magari,pikipiki,vipaza sauti,piano system nk,ni chama cha kwanza tanzania kuwa na wataalamu wa sheria,uchumi,sera& mipango madhubuti,sera bora ya nje nk.
Wanaccm hawakutegemea haya kwenye vyama ,na hii inaua propaganda iliyokuwa inasemwa kuwa vyama vya upinzani kazi yao ni kutafuna ruzuku na madaraka,chama kiko makini,kinazingatia taratibu na mipango kiliyojiwekea,ccm imetumia ukabila umeshindikana,udini umeshindikana,ukanda imeshindikana na sasa watumishi kugoma imeshindikana,Majuha sasa yanahoji mzabuni,na kiasi cha bei ya kila pikipiki,
Badala ya kuhoji mapato ya viwanja vya mpira vilivyohodhiwa na ccm yanaenda wapi,majengo,nk,watendaji wa ccm wilaya,kata,na mitaa ofisi zikikosa hata rangi tu,kama wanabisha waende ofisi ya ccm wilaya ya Liwale,Utete,Namtumbo ,Bariadi,maswa,mleba nk aibu!
 
Tusishangae kusikia CCM wanajibu hili kwa wao pia kuagiza pikipiki 2500 (mara 10 zaidi) ili kuwakomesha Chadema. Siku hizi ishaanza kuzoeleka kuona CCM hawawezi tena kubuni mipango ya maendeleo, bali kubuni mipango ya kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa masikini
 
hiyo tenda ya kuagiza pikipiki mbona hatukuisikia"? au ni dili la mbowe
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeingiza pikipiki 252 zitakazo tawanywa kwenye maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha zoezi la CHADEMA ni msingi ambalo linaendelea nchi nzima likisimamiwa na kanda zilizoundwa mapema mwaka jana (2013), huu ni muendelezo wa kuziwezesha kanda ziweze kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi kwa maendeleo endelevu ya chama.

Pikipiki hizo pia zitakuwa msaada mkubwa katika kipindi hiki ambapo chaguzi ndani ya chama zinaendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini, lakini pia ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji unao tarajiwa kufanyika mapema mwezi Oktoba.

Lakini pia itakuwa muendelezo wa kuziimarisha kanda za chama, kama mtakumbuka kwenye uzinduzi wa kanda kila kanda ilipatiwa gari mpya aina ya Ford Ranger, Pikipiki mpya zenye brand ya CHADEMA M4C zaidi 126 zenye PA system zenye uwezo wakuhutubia umati wa watu kuanzia 500 hadi 1000 na Megaphone ndogo zaidi ya 256.



View attachment 162786
Sehemu ya Shehena ya pikipi zilizowaingizwa jana

View attachment 162795

Wakati watendaji wa chama makao makuu wakiwa busy na kushirik kupokea pikipiki hizo, jana kuna uzi uliwekwa hapa ukiwa na kichwa "Watendaji wa CHADEMA makao makuu kugoma", na eti wanataka kumfungia katibu mkuu Dr Slaa ofisini ili kushinikiza kuongeza mishahara; Tuliupuuza kwa kuwa haukuwa na ukweli wowote bali ulijaa hekaya za kutunga zisizo kuwa na msingi kwa kuwa CHADEMA kinafanya mambo yake kwa utaratibu.

Mapambano yanaendelea ili kuzidi kuwaamsha watanzania dhidi ya ufisadi, ubadhirifu wa mali na nyara za umma na ukandamizaji wa haki za binadamu. Mpaka kieleweke.

View attachment 162798

Kamanda Mohamedi Mtoi hii ni moja kati ya taarifa nzuri sana ambazo wanachadema wamezipokea kwa furaha sana. Pikipiki hizi tumezisubiria kwa muda mrefu sana na kwakuwa zimefikishwa kwenye yard yetu ni hakika viongozi wetu wanastahili pongezi kwa kazi kubwa waliyoifanya hadi kupatikana kwa pikipiki hizi.

Makamanda wako tayari kuingia "field" kufanya kazi na kwahakika mwaka huu katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji chama cha magamba lazima kishikishwe adabu kwakuwa sasa hakuna jiwe litakaloachwa bila kugeuzwa.
 
Last edited by a moderator:
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kimeingiza pikipiki 252 zitakazo tawanywa kwenye maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha zoezi la chadema ni msingi ambalo linaendelea nchi nzima likisimamiwa na kanda zilizoundwa mapema mwaka jana (2013), huu ni muendelezo wa kuziwezesha kanda ziweze kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi kwa maendeleo endelevu ya chama.

Pikipiki hizo pia zitakuwa msaada mkubwa katika kipindi hiki ambapo chaguzi ndani ya chama zinaendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini, lakini pia ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji unao tarajiwa kufanyika mapema mwezi oktoba.

Lakini pia itakuwa muendelezo wa kuziimarisha kanda za chama, kama mtakumbuka kwenye uzinduzi wa kanda kila kanda ilipatiwa gari mpya aina ya ford ranger, pikipiki mpya zenye brand ya chadema m4c zaidi 126 zenye pa system zenye uwezo wakuhutubia umati wa watu kuanzia 500 hadi 1000 na megaphone ndogo zaidi ya 256.



View attachment 162786
sehemu ya shehena ya pikipi zilizowaingizwa jana

View attachment 162795

wakati watendaji wa chama makao makuu wakiwa busy na kushirik kupokea pikipiki hizo, jana kuna uzi uliwekwa hapa ukiwa na kichwa "watendaji wa chadema makao makuu kugoma", na eti wanataka kumfungia katibu mkuu dr slaa ofisini ili kushinikiza kuongeza mishahara; tuliupuuza kwa kuwa haukuwa na ukweli wowote bali ulijaa hekaya za kutunga zisizo kuwa na msingi kwa kuwa chadema kinafanya mambo yake kwa utaratibu.

Mapambano yanaendelea ili kuzidi kuwaamsha watanzania dhidi ya ufisadi, ubadhirifu wa mali na nyara za umma na ukandamizaji wa haki za binadamu. Mpaka kieleweke.

View attachment 162798

kama chopa zimeshidwa zitaweza bodaboda blood fakn
 
kama chopa zimeshidwa zitaweza bodaboda blood fakn
Kamuulize Tendwa nini kilitokea pale Arumeru....CCM na kuiba hela na kutumia mali za serikali hawana chopa.Ungejiuliza kwanini CCM wameshindwa pata chopa...
 
magamba kazi yao kuiga mimi naisi wataiga.
Chopa wameshindwa iga itakuweje hizi?CCM wapo ktk financial problems kiasi cha kuwafanya sasa kila mahali waibe hadharani huku wkaiw ana majibu ya kipuuzi.
 
hela za kununua pikipiki zimetoka wapi? kama hazijatolewa na wahisani ni vizuri, maana waafrika tunatafuta ukombozi lakini wazungu wamevishika vyama vya siasa kwa misaada kama hii kujiandalia uhalali wa kuendelea kuliibia bara la afrika. HIZI PIKIPIKI SI ZA KUSHANGILIA.
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeingiza pikipiki 252 zitakazo tawanywa kwenye maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha zoezi la CHADEMA ni msingi ambalo linaendelea nchi nzima likisimamiwa na kanda zilizoundwa mapema mwaka jana (2013), huu ni muendelezo wa kuziwezesha kanda ziweze kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi kwa maendeleo endelevu ya chama.

Pikipiki hizo pia zitakuwa msaada mkubwa katika kipindi hiki ambapo chaguzi ndani ya chama zinaendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini, lakini pia ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji unao tarajiwa kufanyika mapema mwezi Oktoba.

Lakini pia itakuwa muendelezo wa kuziimarisha kanda za chama, kama mtakumbuka kwenye uzinduzi wa kanda kila kanda ilipatiwa gari mpya aina ya Ford Ranger, Pikipiki mpya zenye brand ya CHADEMA M4C zaidi 126 zenye PA system zenye uwezo wakuhutubia umati wa watu kuanzia 500 hadi 1000 na Megaphone ndogo zaidi ya 256.



View attachment 162786
Sehemu ya Shehena ya pikipi zilizowaingizwa jana

View attachment 162795

Wakati watendaji wa chama makao makuu wakiwa busy na kushirik kupokea pikipiki hizo, jana kuna uzi uliwekwa hapa ukiwa na kichwa "Watendaji wa CHADEMA makao makuu kugoma", na eti wanataka kumfungia katibu mkuu Dr Slaa ofisini ili kushinikiza kuongeza mishahara; Tuliupuuza kwa kuwa haukuwa na ukweli wowote bali ulijaa hekaya za kutunga zisizo kuwa na msingi kwa kuwa CHADEMA kinafanya mambo yake kwa utaratibu.

Mapambano yanaendelea ili kuzidi kuwaamsha watanzania dhidi ya ufisadi, ubadhirifu wa mali na nyara za umma na ukandamizaji wa haki za binadamu. Mpaka kieleweke.

View attachment 162798
 
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?

Haikuhusu,kahoji shs Bil 200 za Escro kwanza ndio ujue yajiraniyako.Chamsingi tunapaswa kuwachunga nyie interahamwe kwa macho zaidi ya mawili msije mkazichoma moto kama ile Fuso
 
Back
Top Bottom