WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 932
hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
kamuulize kinana!
hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
kama siku hizi mizinga ya nyuki inaweza kugeuka na kuwa pikipiki, basi hilo ni bonge la dili na imekaa poa sana hiyo!. Perhaps huo ni mtaji wa "the domokaya" na "the kengezas" wa kwenda kufuga nyuki baada ya 2015 pale chadomo itakapogalagazwa mbaya!
Mkuu MSALANI HIVI NANI KAPEWA TENDA HILI?
Ukawa vip aziwahusu au
Asante sana mashujaa Dr Wilbroad Slaa na Freeman Mbowe.Mtuongoze daima!
Kwahiyo hawa ndio CHADEMA? lini unafanyika uchaguzi wa ndani ili wanachadema wazalendo wachague viongozi wanaowataka?
Kila mmoja inegarimu shilingi 10 tu
Wanakopeshwa watendaji!!!!?????
Zinakuwa za ofisi!!!????
Ufadhili au pesa ya ndani!!??? Kama ufadhili wa nani na makubaliano yepi!!!!??????
Operation mode please na expected maintenance costs !!!!!
A matter of sustainability.....otherwise it is a good move!!!!!