CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

Naona pikipiki za makamanda zimewatoa maintarahamwe povu. Hah hah haaaa
 
Milioni tatu kwa pikipiki moja ni bei aghali sana. Huu ni utapanyaji wa fedha za ruzuku.
 
bora chadema wanaingiza vitu kwa uwazi ccm wao hata kuwambia wanachama wake kilichoingia ndani ya chama hakuna eti wana sera ya usiri serikalini hadi kwa chama la maana kwa wanachama wao ni kugawa kofia,t-shet,na vitambaa kwa wabibi zetu kwa msafara wa kinana kuna gari limesheheni madudu hayo(makofia n.k)
 
CCM akaunti zake zote zina read zero chezea mwenyekiti wa CCM na katibu mkuu wake wamekausha chama wamebaki kukaba wafanya biashara duh
 
mkuu, bei ya pikipiki ni milioni maja na nusu, hizo zilizobaki ni chajuu cha mbowe

Mbowe jembe utamlinganisha na mwenyekiti wa CCM Kikwete amekausha hazina ya nchi na akaunti za CCM akaunti ni zero
 
Milioni tatu kwa pikipiki moja ni bei aghali sana. Huu ni utapanyaji wa fedha za ruzuku.

Tunaomba mchanganuo wa tenda za kofia,tshirt,vilemba,kanga na ule wali mnaogawa kwenye mikutano yenu bila kusahau gharama za kusomba watu kwa malori!
 
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
Gharama kaulize miradi ya watumia masaburi kufikiri..Pengine ungeuliza zitakata mitaa mingapi ambayo CCM na mshangingi yenu hamfiki.
 
Back
Top Bottom