CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

Hongereni CDM. Nadhani hayo ni majibu tosha kwa wale waliokuwa wanaeneza propaganda kuwa ruzuku za chama zote zinaliwa Makao Makuu.

CCM kupitia mataniboi wao wamekuwa wanaeneza propaganda kuwa ruzuku zinaliwa makao makuu, CAG amekuja kukagua ameridhika na namna hesabu za chama zilivyokuwa sawasawa kwa maana ya matumizi, waliokuwa wanaleta propaganda (CCM) mpaka leo wamegoma kukaguliwa maana hesabu zinaingilia na fedha za ESCROW akaunti.
 
MSALANI,

Taarifa itatolewa Rasmi Kwenye Vikao kupitia vyombo vya uwakilishi katika uendeshaji wa chama yaani sekretarieti,Kamati Kuu na Baraza Kuu ambavyo vipo kwa niaba ya wanachama,wapenzi na Wafuasi wa CHADEMA na harakati za Mageuzi kwa ujumla

Mkuu,
Tunashukuru sana kwa Ilimu yako.
Natumai kuwa Enock MSALANI atakuwa amekusoma na kuelewa kuwa yeye ni Mpuuzi tu kupewa taarifa kama hizo
 
Last edited by a moderator:
Ben unamjibu wa nini huyu...! Pigeni kimya kama jana mlivyoichunia thread ya mishahara... Huyu toilet hastahili kujua hata rangi ya pikipiki 1

Kuna ufisadi mkubwa sana kwenye mchakato wa manunuzi ya hizo pikipiki, ndio maana tunahoji.
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeingiza pikipiki 252 zitakazo tawanywa kwenye maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha zoezi la CHADEMA ni msingi ambalo linaendelea nchi nzima likisimamiwa na kanda zilizoundwa mapema mwaka jana (2013), huu ni muendelezo wa kuziwezesha kanda ziweze kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi kwa maendeleo endelevu ya chama.

Pikipiki hizo pia zitakuwa msaada mkubwa katika kipindi hiki ambapo chaguzi ndani ya chama zinaendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini, lakini pia ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji unao tarajiwa kufanyika mapema mwezi Oktoba.



Hii ni hatua moja kubwa sana na mwanzo!
Angalizo!
Kanuni ya Ugawaji wa hizi Pikipiki ziwe shirikishi kwa maana ya Sifa itakayo zingatiwa kwa Kanda husika na viongozi wake kufanikiwa kupata ngawo wa hizi piki.

Ushari wakati vitendea kazi hizi vinakabidhiwa ni vizuri Makao Makuu ya Chama ikawekeana Mkataba na Kanda husika kuwa malengo ya kuletwa kwa Pikipiki hizi inatekelezwa hivyo Mkataba ueleze lini kila kanda itarejesha taarifa ya utekelezaji.

Maeneo muhimu sana kuelekea 2014-2015;

-Uhakiki wa Wanachama
-Uandikishaji wa wanachama wapya.
Uandishaji wa watanzania na hasa wanaCDM wenye Umri zaidi 18yrs lakini hawana Kadi ya Kupigia kura ya Tume ya Uchaguzi- ilikuwasilisha Malalamiko na hata ikilazima kufungua Kesi Mahakama Kuu kudai haki hii ya Msingi ya kuwa na Uhuru wa kumchagua/kuchagua viongozi.



CC. Mohamedi Mtoi , Kurugenzi ya Habari Tumaini Makene , Ben Saa Nane
 
I am speechless, Niseme nini sasa...
Thanks God for this talented,gifted,endowed,.. Leadership in CHADEMA.
 
mzabuni(supplier) ni nani?

Mzabuni ni (Israel+440 usiyasome)
BabaIsrael_Wordisbond-e1335696536785.jpg
 
Mkuu,
Tunashukuru sana kwa Ilimu yako.
Natumai kuwa Enock MSALANI atakuwa amekusoma na kuelewa kuwa yeye ni Mpuuzi tu kupewa taarifa kama hizo
Mkuu muda mwingine uwe serious kidogo. Haya ni masuala mazito na yanahitaji majibu mazito pia.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni hatua moja kubwa sana na mwanzo!
Angalizo!
Kanuni ya Ugawaji wa hizi Pikipiki ziwe shirikishi kwa maana ya Sifa itakayo zingatiwa kwa Kanda husika na viongozi wake kufanikiwa kupata ngawo wa hizi piki.

Ushari wakati vitendea kazi hizi vinakabidhiwa ni vizuri Makao Makuu ya Chama ikawekeana Mkataba na Kanda husika kuwa malengo ya kuletwa kwa Pikipiki hizi inatekelezwa hivyo Mkataba ueleze lini kila kanda itarejesha taarifa ya utekelezaji.

Maeneo muhimu sana kuelekea 2014-2015;

-Uhakiki wa Wanachama
-Uandikishaji wa wanachama wapya.
Uandishaji wa watanzania na hasa wanaCDM wenye Umri zaidi 18yrs lakini hawana Kadi ya Kupigia kura ya Tume ya Uchaguzi- ilikuwasilisha Malalamiko na hata ikilazima kufungua Kesi Mahakama Kuu kudai haki hii ya Msingi ya kuwa na Uhuru wa kumchagua/kuchagua viongozi.



CC. Mohamedi Mtoi , Kurugenzi ya Habari Tumaini Makene , Ben Saa Nane

Mchango wako umepita viwango vya ujumla vya wachangiaji kwenye jukwaa hili.

Ongera sana kwa mafanikio hayo,Nategemea kuona michango ya viwango hivi kutoka siku za usoni.

Nategemea pia kuona wachangiaji wengine wakiiga mfano huu.

Tanzania inapaswa kujivunia sana kuwa na wananchi wazalendo kama wewe.

Binafsi namshukuru Mungu sana sana sana kwa ajiri yako.
 
Back
Top Bottom