CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?

Ni vema ukaanza wewe kutuambia Tangu Kinana na Nape waanze ziara zao wametumia Shillingi ngapi? na ukimaliza utueleze pia Kiasi cha fedha alichotumia hadi sasa Kikwete katika Ziara zake zaidi ya 360 nchi za nje na manufaa tuliyoyapata hadi sasa turinganishe na hicho kiasi cha fedha kilichotumika.
 
hujajibu swali. ungepita tu kama hujui jibu lake.

MSALANI,

Taarifa itatolewa Rasmi Kwenye Vikao kupitia vyombo vya uwakilishi katika uendeshaji wa chama yaani sekretarieti,Kamati Kuu na Baraza Kuu ambavyo vipo kwa niaba ya wanachama,wapenzi na Wafuasi wa CHADEMA na harakati za Mageuzi kwa ujumla
 
Wanajamvi katika mkakati wa kujenga CHADEMA nchini wilaya ya Muheza na Kilindi wamepokea piki piki toka CHADEMA kanda awamu ya kwanza kwa ajiri ya shughuli za chama.

Pikipiki hizo zenye nembo maalum za CHADEMA na megafone zake ful kwa kazi.

Hongereni dr. Slaa na Mbowe kazi tumeziona za chama.Wanao lalamikia ruzuku ni wale wale wasio jua makubwa ndani ya CHADEMA yanayofanyika.

Hakika safari ya kuing'oa CCM inazidi kupamba moto.
 
Thanks to Dr, Slaa; Mbowe and the whole team on top of the cdm leadership
 
Kama siku hizi mizinga ya nyuki inaweza kugeuka na kuwa pikipiki, basi hilo ni bonge la dili na imekaa poa sana hiyo!. Perhaps huo ni mtaji wa "the domokaya" na "the kengezas" wa kwenda kufuga nyuki baada ya 2015 pale chadomo itakapogalagazwa mbaya!
 
Asante sana mashujaa Dr Wilbroad Slaa na Freeman Mbowe.Mtuongoze daima!
 
Daa chadomo kwa ubunifu kwenye sekta ya ujasiriamali hamjambo!. Mmeandaa pori la kutundikia hiyo mizinga lakini?
 
Good move! Ila kuna mkakati gani wa kuziendesha bila kuishia kufa na kutupwa kwenye hizo ofisi?

Pesa ya uendeshaji je?

Nimeuliza hilo swali tangu asubuhi ila sababu wafuasi hawataki kujiuliza maswali ya msingi kwao shangwe tuuuu!!!!!
 
haya ndo mambo,safi sana.jitaidi pia na Radio na TV mambo yatakuwa poa sana.nawapongeza sana kwa hili.
 
nani kakwambia zimenunuliwa na pesa ya Ruzuku?

Chadema kuna mradi gani zaidi ya ruzuku na misaada? Na Saboda ameacha kuwapa misaada maana malengo ya misaada haifanyiki.
 
Back
Top Bottom