Kwahiyo hawa ndio CHADEMA? lini unafanyika uchaguzi wa ndani ili wanachadema wazalendo wachague viongozi wanaowataka?
Kwa sasa hatuhitaji uchaguzi.Hawa mashujaa waliopo wanatosha.Labda baada ya miaka kumi ijayo.
Kwahiyo hawa ndio CHADEMA? lini unafanyika uchaguzi wa ndani ili wanachadema wazalendo wachague viongozi wanaowataka?
MTEI mkuu!
Kwa sasa hatuhitaji uchaguzi.Hawa mashujaa waliopo wanatosha.Labda baada ya miaka kumi ijayo.
Kwahiyo hawa ndio CHADEMA? lini unafanyika uchaguzi wa ndani ili wanachadema wazalendo wachague viongozi wanaowataka?
Sasa Kamanda miaka kumi ijayo Mzee Slaa ambaye kwa sasa anaitafuta 80 huoni atakuwa Mzee sana?
muulize zittoNa aliyepata hiyo tenda ya kuziagiza ni nani?
mzabuni(supplier) ni nani?
Hizo pikipiki kila moja imegharimu shs ngapi?
MTEI mkuu!
na hii jeeHuyu Msalani akirudi tena,basi nitaamini kuwa ana moyo wa mwandawazimu!
Nilitaka kushangaa! Yaani Enock Mujage dogo wa Mkuranga a.k.a MSALANI husitokee kuleta uharo? Wallah leo ningejipiga ban!
Yale magari ya M4C yalinunuliwa na Mbowe pasi kushirikisha kamati husika ambayo ilitakiwa kufanya hayo manunuzi, akaja Maskini Mkulima hapa akaeleza jinsi pesa zilivyofujwa kupitia ununuzi huo wa magari ya chama. Naomba tuwekwe sawa kuhusu hizi pikipiki, kamati ilishirikishwa? Kwa maana yule mtonyaji wetu anayefichua fichua ubadhirifu (Maskini Mkulima) kahamia ACT
Kwa sasa hatuhitaji uchaguzi.Hawa mashujaa waliopo wanatosha.Labda baada ya miaka kumi ijayo.