CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

CHADEMA yaingiza Pikipiki 252 kuimarisha chama

isije ikawa zimenunuliwa kwa fedha za mkopo toka kwa MWENYEKITI ambaye ni very local....halafu mwishowe katika ilipwaji wa deni chama kilipe mara nane zaidi ya bei halisi.
afterall... zilikuja mamia kwa ajili ya M4C na matokeo yake tunakiona chama kikizidi kuelekea kaburini. mtazamo wangu ni kwamba''' HUU NI MRADI MWINGINE WA MWENYEKITI NA WANAOMSUJUDIA'''

Mambo ya CDM yanakuhusu nini wewe gamba? Wanachama tutapewa taarifa kupitia vikao vyetu na si hapa jf! Naona imewachoma sana magamba coz mmeweweseka sana toka jana!
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu, huu ni mwendelezo wa "fursa" za kutafuna ruzuku ya chama.

Toka zije hizo pikipiki naona mnakesha hapa jf mkitoa uharo,BP zinapanda na kuwashuka ngedere nyie
 
Unachoongelea ni dhana. Kama ungekuwa mzalendo hasa tungeanza na Kinana ambaye tuna ushahidi wote kuwa ndiye anayemaliza tembo wetu. Huyu Kinana anatafuna nyara za Taifa lakini analindwa na Kikwete na CCM. Kwa nini tusianze na huyu ambaye tuna uhakika naye kuliko kuongelea mambo ambayo hatuna uhakika?

Mkuu umeongea ukweli mtupu, huu ni mwendelezo wa "fursa" za kutafuna ruzuku ya chama.
 
Kwaniaba ya wana chadema wote napenda kuwapongeza makamanda wote wa chadema wakiongozwa na mwenyekiti mbowe na katibu mkuu dr slaa;hii inaonyesha wazi kua chadema ina viongozi imara mpaka sasa piki pk 407 na magari 10 ford ranger,watanzania tunaipa kura chadema 2014-2015 kwakua wamekua wazi hata mikataba ya nchi ya madini na gesi wataweka wazi,pato la taifa na mgawanyo wake kupitia cdm utakua wazi;je chama gani kinaweza kama chadema
 
good move... hizo pikipiki ziongezwe mara mbili zaidi kufikia 2015...Majimbo yaandae mawakala kuanzia sasa! Vetting ifanyike kimya kimya uchaguzi unapokaribia...Rezo tolerance kwa wasaliti...
 
Safi sana CDM endeleeni vyema katika mapambano ya kumtoa mkoloni/kaburu mweusi.
 
Ugomvi wa chadema ni posho kutofika kwa watendaji kule mikoani, kwenye nchi hii nani asiyependa kufanya manunuzi kama hayo! Wapeleke pkpk watu wakabebee matenga. Zoezi hilo liende sambamba na kuwezesha ofisi zao angalau ngazi ya wilaya. Inafikia mihtasari kuandikwa kwenye paketi za sigara!
 
Ni ishara kwamba ruzuku na michango ya wanachama inatumika vyema.
 
Back
Top Bottom