RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,758
Pikipiki moja iligharimu bei gani?
"RAV4 ina gharimu million 80!!! Inajumuisha kodi zote na usafiri" Lukuvu
Pikipiki moja iligharimu bei gani?
Mbona kila Kamanda anakuja na idadi yake ya pikipiki? Mtoi alisema 252 wewe unasema 407 hii inaonyesha hata hamjui kinachoendelea.Kwaniaba ya wana chadema wote napenda kuwapongeza makamanda wote wa chadema wakiongozwa na mwenyekiti mbowe na katibu mkuu dr slaa;hii inaonyesha wazi kua chadema ina viongozi imara mpaka sasa piki pk 407 na magari 10 ford ranger,watanzania tunaipa kura chadema 2014-2015 kwakua wamekua wazi hata mikataba ya nchi ya madini na gesi wataweka wazi,pato la taifa na mgawanyo wake kupitia cdm utakua wazi;je chama gani kinaweza kama chadema
Pro-Chadema wengi ni wafuata mkumbo hawana uwezo hata wa kuhoji wao wanameza tu taarifa kutoka Ufipa.Mbona kila Kamanda anakuja na idadi yake ya pikipiki? Mtoi alisema 252 wewe unasema 407 hii inaonyesha hata hamjui kinachoendelea.
Pro-Chadema wengi ni wafuata mkumbo hawana uwezo hata wa kuhoji wao wanameza tu taarifa kutoka Ufipa.
Mbona kila Kamanda anakuja na idadi yake ya pikipiki? Mtoi alisema 252 wewe unasema 407 hii inaonyesha hata hamjui kinachoendelea.
Pikipiki hizo ni zawadi kutoka kwa mfalme jamshid aliyepinduliwa zanzibar ni ahsante yao kuungana na cuf
Chukua 407 toa 252 jibu utakalopata ni idadi ya pikipiki zilizoingia awali, ambazo zipo kazini hadi sasa kujenga misingi nk...
Sijui ulitak ziwe na nani ili CDM wazitumie na kumiliki....?Umesahau hata Ndesa Pesa km anavyojulikana MS anazo.Kwani chopa Bei gani hadi utokwe roho kihivyo?Hata CCM pamoja na kuwa km fisi kila hela wanazipiga bado wanaweza nunua wakijinyima kuiba week tuu.kwani chopa za cdm au sa mtei
Wamezoeshwa hivyo na viongozi wao.
Mp Kalix2,
Mkataba Upo na una details za kutosha pamoja na Mwongozo wa Matumizi ya Raslimali za Chama.Uko very Professional
Asante kwa taarifa.
Nimatarajio yangu watakao faidika kuzingatia miongozo ya Vyombo husika!
Kumekuwepo na taarifa mbalimbali kuwa magari ya M4C yanakesha baa hivyo hizi Pikix2 ni vizuri mikataba hiyo wahusika wakasainishwa na sikuwekwa kwenye makabati ili pale inapojitokeza makosa kinyume na Mkataba kuchukua hatua ni Rahisi na hakuna kusema sikujua au sikufahamishwa.
Mwisho ufuatiliaji ,usimamizi na mrejesho wa Shughuli iliyokusudiwa kwa ajili ya hivi vyombo ni muhimu ili kuweza kutathimini matokeo.
cc. Kurugenzi ya Habari Ben Saanane
Chadema wabunifu sana yani magari yao ya m4c ni utalii tosha kabisa katika nchi yetu.ongezeni magari mengi mnatisha.
Naiomba kurugenzi ya habari mtuletee tena m4c na Pamoja daima tunaisubiria kwa hamu
Sijui ulitak ziwe na nani ili CDM wazitumie na kumiliki....?Umesahau hata Ndesa Pesa km anavyojulikana MS anazo.Kwani chopa Bei gani hadi utokwe roho kihivyo?Hata CCM pamoja na kuwa km fisi kila hela wanazipiga bado wanaweza nunua wakijinyima kuiba week tuu.