Unakubaliana nasi kuwa shimbo alifanya siasa.
kwa kuwa tamko lilihusu uchaguzi na vyama vya siasa, mtoa tamko sahihi angekuwa kama si msajili wa vyama vya siasa basi angekuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi.
Ikiwa kwa kitisho cha mpaka na malawi mkuu wa majeshi yetu hatakiwi kusema kitu sembuse kwa kazi isiyomuhusu kabisa!!!
Hawa wajeshi wajiongeze kidogo, wanaposema wanakitii chama kinachounda serikali wamepaswa kujua kuwa utii wao kwa kipande hiki si utii wa kijeshi, kwani waamrishaji si wanajeshi, ama la sivyo hawa wastaafu wa jeshi wanasomeka kuwa ni wanajeshi.
I think its a blasphemy kusema jeshi is loyal au linatii chama kinacho ongoza serikali. I dont know about the laws za jeshi ila i think he should have said ´Jeshi linatii na kuheshimu kanuni na sheria za jamuhuri ya muungano bila kujali chama au mtu au taasisi´. Hawa viongozi wetu bana, they need more pressure ili wawezekujitambua.