Alichokula leo kinahusiana nini na hii thread?Kaka nakushauri hii thread yako itoe haina maana yeyote hapa.Leo mchana umekula nini mkuu?
mbona unajishtukia?Ndio muda muafaka kwa watanzania kujifunza kujibu maswali kwa usahihi.Tumekuwa wababaishaji sana tazama kila sehemu kuna class ya age.Sasa kila mahali hadi kwenye taasisi iliyopaswa kuwa very precise sasa wapo ktk test il amado majibu yakibabe na kukosa fikra yanaendelea kupewa nafasi.CCM kuna mgogoro wa kifkra, Police the same, sasa JWTZ.Umewahi sikiliza police wengi wanachoongea?Ni zaidi ya kuingia ktk jeshi wakiwa failures.Kama shida ni kuwa na wanajeshi failures kielimu basi tuanze fanyia kazi.Kuna vijana wadogo wana elimu nzuri tuu nawafahamu.waliokuwa wakifikir haraka bila chuku kwa mtu na walikuwa wakifight ku accoplish task.Kaka nakushauri hii thread yako itoe haina maana yeyote hapa.Leo mchana umekula nini mkuu?
Kaka nakushauri hii thread yako itoe haina maana yeyote hapa.Leo mchana umekula nini mkuu?
Kukaa kimya wakati mwingine inasaidia sana kuliko kubwata bwata kwa maelezo hayo kamanda dudus umewavua nguo vibaraka wa Magamba(JWTZ)....
Hapo kwenye red; asante sana kwa maelezo "mazuri". Hebu tufafanulie issue ya Kanali Ndomba aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na kwa title hiyo, kwa mujibu wa Katiba ya CCM, alikuwa Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa ya chama hicho.
Huku "ikidhaniwa" ni Kanali "mstaafu" hivi karibuni kapandishwa cheo kuwa Luteni Jenerali na kuwa Mnadhimu wa JWTZ. Au tuelewe kwamba mwanajeshi anaweza kustaafu kisha baada ya muda akarudi tena jeshini kulitumikia Jeshi tena kwa cheo cha juu zaidi?
Hebu weka unafiki pembeni kisha fafanua hili.
Mkuu zeMaracopolo
Ukiona mwenzio kapewa ukuu wa mkowa nawewe ndo umekalia kiti chake baada ya yeye kustaaafu na kuwa kada, je
hutashawishika kutetea maslahi ya chama ili nawewe ujepewa ukuu wa mkoa hapo baadaye? imekaaje hii!!
Ni kweli mkuu hata mimi nilipata kuckia kwa mtu aliyekuwa darasa moja nyuma ya Mnyika pale Tambaza akisema kuwa Form Six Jamaa alipata Division 2
acha kukurupuka kosa la Lema ni nini? mbona Lema mpaka sasa hajakamatwa au serikali ya CCM inamwogopa...Ni kweli mkuu,chadema wasijivunie ile picha na kutaka publicity ya aina yoyote ile,lile lilikuwa ni kosa kwa lema na kwa askari,lema pale alichemsha, otherwise wasimamie kanuni kuwa wanajeshi wote ni no partisan,na ni marufuku kushiriki siasa.,,kesho na kesho kutwa itakuwa wao.
lema kaibua maswala nyeti sana.
kwa kweli bora jeshi lisingetoa tamko.
Umekurupuka kajipange.Jeshi ni zaidi ya ulijuavyo.