CHADEMA yaijibu JWTZ

CHADEMA yaijibu JWTZ

Hahahaaaaa! wakati wa uchaguzi ni chama gani kinakuwa kimeshikilia serikali?
na jeshi linapaswa kulinda maslahi ya chama au nchi?
kwani kama vyama vimetofautiana juu ya matokea ya uchaguzi nini jukumu la Jeshi?

nafikiri Jeshi linapaswa kulinda usalama wa nchi mpaka suluhu ya nani mshindi wa halali ipatikane!

CCM pengine ni nafasi nyingine ya kumvua Kamanda Lema ubunge kwa kulitumia jeshi vibaya, hahahaa, wanasubiri nini??

NB. Mioyo ya watanzania imevunjwa vya kutosha na magamba sasa tunasema basi..tunataka mioyo yetu ipone 2015!


[
Mgawe alisema: “Ebwa ehh! Na wewe sasa unataka kuniingiza kwenye siasa, mimi sitaki kuingia huko, lakini nikueleze kuwa sisi kama wanajeshi tuko royal (utii) kwa Serikali iliyoko madarakani,” alisema Mgawe.]

Huyu jamaa kachemka, ingekuwa hivyi Misri ingekuwa kama Siria leo na yanayotolea siria ni madhara ya kuwa na UTIII kwa Serekali badala ya Taifa na wananchi kwa ujumla.
 
Akijibu hoja za Chadema kuhusiana na tamko lilitolewa na aliyekuwa Mnadhimu wa jeshi hilo Shimbo aliyewataka wanasiasa kutogomea matokeo wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita, Mgawe alisema: “Ebwa ehh! Na wewe sasa unataka kuniingiza kwenye siasa, mimi sitaki kuingia huko, lakini nikueleze kuwa sisi kama wanajeshi tuko royal (utii) kwa Serikali iliyoko madarakani,” alisema Mgawe.

Hii sentensi imebeba ujumbe mzito na kwa vyama vingine vya kisiasa hakuna hata sababu ya kuhoji zaidi kinachofanywa na jeshi letu kwa sababu jibu limeishatolewa.

It's sad but true, ndiyo maana serikali inafanya kila iwezacho ili kulifanya jeshi kuwa mkono mwingine wa serikali.

Ni kweli, jeshi bila nidhamu siyo jeshi tena, lakini pia pale nidhamu inapokuwa selective kwa wanajeshi wa vyeo vya chini tu, inaonyesha kuna tatizo ndani ya uendeshaji wa jeshi.

I'm sorry for the guy. He is going to be crucified.
 
Utii kwa serikali iliyopo madarakani inamaanisha Jeshi lina utii kwa CCM kwa sasa. Na hii kwa sababu rais alitoka CCM ndiyo Amiri Jeshi mkuu. Sasa mi sikatai ila nina tatizo na uwajibikaji wa vigogo wa jeshi!

Hawa jamaa wamekua kama nchi yakwao, yaani chochote kinachohusu jeshi hakiilzwi na yeyote! Huu utamaduni ni mbaya sana kwa sababu serikali inaweza kutumia jeshi kufanya ufisadi, kama inavyofanya sasa.

Tulishikia kwamba Luteni Shimbo alikua na Trilioni 3.3 kwenye akaunti yake huko Afrika ya Kusini,nini kiliendelea! hakuna? unafikiri serikali haijui?

Meremeta nini kiliendelea! hakuna? Sasa kama jeshi linawajibika kwa jeshi tu, hii ni tatizo! kunatakiwa kuwe na chombo kingine cha kuwawajibisha.
 
...Akijibu hoja za Chadema kuhusiana na tamko lilitolewa na aliyekuwa Mnadhimu wa jeshi hilo Shimbo aliyewataka wanasiasa kutogomea matokeo wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita, Mgawe alisema: “Ebwa ehh! Na wewe sasa unataka kuniingiza kwenye siasa, mimi sitaki kuingia huko, lakini nikueleze kuwa sisi kama wanajeshi tuko royal (utii) kwa Serikali iliyoko madarakani,” alisema Mgawe.

Hii sentensi imebeba ujumbe mzito na kwa vyama vingine vya kisiasa hakuna hata sababu ya kuhoji zaidi kinachofanywa na jeshi letu kwa sababu jibu limeishatolewa.

It's sad but true, ndiyo maana serikali inafanya kila iwezacho ili kulifanya jeshi kuwa mkono mwingine wa serikali.

Ni kweli, jeshi bila nidhamu siyo jeshi tena, lakini pia pale nidhamu inapokuwa selective kwa wanajeshi wa vyeo vya chini tu, inaonyesha kuna tatizo ndani ya uendeshaji wa jeshi.

I'm sorry for the guy. He is going to be crucified.
 
Mgawe alisema: "Ebwa ehh! Na wewe sasa unataka kuniingiza kwenye siasa, mimi sitaki kuingia huko, lakini nikueleze kuwa sisi kama wanajeshi tuko royal (utii) kwa Serikali iliyoko madarakani," alisema Mgawe.

Royal?:becky::becky::becky:
 
Hujui unachoakiongea!!!
Jifunze tofauti kati ya mwanajeshi na mwanajeshi mstaafu. Pia jifunze kuongea mambo kwa evidence...

Ndomba alipokuwa Mkuu wa Mkoa alikuwa amestaafu sio? Na Mkuu wa Mkoa ni mjumbe wa kamati ya mkoa ya CCM! Sasa hivi Ndomba ni nani jeshini!? Ndio maana Mboma na Mahita walipostaafu uCDF na uIGP wakaenda kugombea ubunge kupitia CCM, na Tubaigana pia!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Tuna omba Serikali iache kuwaTeua wastafu wa Jeshi kwenye vyeo vya kisiasa kama Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na zinginezo bCoz inaleta Picha mbaya kwa jamiii. Inafanya Jeshi lilopo kulinda maslahi ya chama fulani.
 
CDM kama mazuzu! Chama kuingia mzozo na Jeshi ni hatari kwa chama husika. Yangu masooo.
 
Mkuu zeMaracopolo

Ukiona mwenzio kapewa ukuu wa mkowa nawewe ndo umekalia kiti chake baada ya yeye kustaaafu na kuwa kada, je

hutashawishika kutetea maslahi ya chama ili nawewe ujepewa ukuu wa mkoa hapo baadaye? imekaaje hii!!

Hilo nalo neno
 
Una uhakika na ulichokiandika hapo? Point tatu form six? Hamuogopi hata kudanganya?

Mnyika ana uwezo na ayafanyayo hata kama elimu yake sio kubwa. Ila hakuna haja ya kudanganya kuweka elimu au matokeo ambayo hana.
Fuatilia Elimu ya Mnyika, utaelewa ni Kichwa hatari!
 
CHADEMA hatuongozi kwa HOFU bali kwa HAKI! JWTZ wanajifanya kutokujihusisha na siasa pale tu wanapokandamiza upinzani, lakini matendo yao yanaonesha wao huitumikia CCM!
 
Chadema wanagombana na kila mtu,, wenyewe kwa wenyewe,, ccm, jeshi,, hapa chama hakuna ni kijiwe tu hii

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ndomba alipokuwa Mkuu wa Mkoa alikuwa amestaafu sio? Na Mkuu wa Mkoa ni mjumbe wa kamati ya mkoa ya CCM! Sasa hivi Ndomba ni nani jeshini!? Ndio maana Mboma na Mahita walipostaafu uCDF na uIGP wakaenda kugombea ubunge kupitia CCM, na Tubaigana pia!

umemaliza, jeshi ni wanafiki
 
Ni kichaa na mpuuzi tu ndo haoni kuwa jeshi linatumika
 
tuacheni ushabiki kwanza kabisa nasifu JWTZ kwa kutolea tamko punde walipona hili. jeshi nichombo ambacho hakitakiwi kufungamana na chama chochote cha siasa na kama ikitokea dosari kama hiyo ni kubwa sana kwa jeshi letu.

binafsi namsihi mnyika aangalie upya kauli yake hivi swala la wanajeshi kusema anajiunga na CDM na swala la meremeta utayafananisha??

meremeta liko katka ngazi tofauti na hata impact yake ni tofauti hii ya mjeda nayo ni tofauti na impact yake ni tofauti. tukiruhusu haya yatakuja yake ya majesh ya m23 ya DRC (sijui) tuacheni ushabiki hapa umakin unahitajika.
 
Hii ni taarifa rasmi ya CDM? au ni majibu ya mh MNYIKA kwa JWTZ, maana sioni uzito wa kichama unaostahili ktk suala hili. kama taarifa yake inavyosema kuna mambo makubwa, ambayo TPDF imekaa kimya bila kutoa ufafanuzi, lkn ina toa ufafanuzi kwenye mambo ya askari wadogo. sasa MH MNYIKA nilitegemea taarifa yako , irekebishe hilo, kwa kuueleza wazi umma wa Watanzania yule mwanajeshi, MH NASSARI, MH LEMA, na KADA mwingine wanamakosa au hawana kisha utoe wito kwa TPDF nao wajitokeze na kujibu hayo madai yako. mnadai mko makini basi umakini wenu usiwe wa kujibu issue kwa CHENGACHENGA hatutaona UTOFAUTI.
 
Hivi mnyika ameishia darasa la ngapi hasa kielimu?shimbo alivitaka vyama vya siasa visigomee matokeo yatalapotangazwa akimaanisha vyama vyote ikiwemo ccm,sasa mnyika alijuaje kwamba ccm ndio watashinda hivyo ushauri wa jeshi unakilenga chadema na cuf tu?halafu mkiambiwa mna miliki kadi mbili mbili mnatoa povu,unaingia kwenye uchaguzi ukijua unaenda kushindwa si bora usishiriki basi

drunk-woman-vomiting.jpg
 
Back
Top Bottom