jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Hivi mnyika ameishia darasa la ngapi hasa kielimu?shimbo alivitaka vyama vya siasa visigomee matokeo yatalapotangazwa akimaanisha vyama vyote ikiwemo ccm,sasa mnyika alijuaje kwamba ccm ndio watashinda hivyo ushauri wa jeshi unakilenga chadema na cuf tu?halafu mkiambiwa mna miliki kadi mbili mbili mnatoa povu,unaingia kwenye uchaguzi ukijua unaenda kushindwa si bora usishiriki basi
Unakubaliana nasi kuwa shimbo alifanya siasa.
kwa kuwa tamko lilihusu uchaguzi na vyama vya siasa, mtoa tamko sahihi angekuwa kama si msajili wa vyama vya siasa basi angekuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi.
Ikiwa kwa kitisho cha mpaka na malawi mkuu wa majeshi yetu hatakiwi kusema kitu sembuse kwa kazi isiyomuhusu kabisa!!!
Hawa wajeshi wajiongeze kidogo, wanaposema wanakitii chama kinachounda serikali wamepaswa kujua kuwa utii wao kwa kipande hiki si utii wa kijeshi, kwani waamrishaji si wanajeshi, ama la sivyo hawa wastaafu wa jeshi wanasomeka kuwa ni wanajeshi.