CHADEMA yaijibu JWTZ

Una uhakika na ulichokiandika hapo? Point tatu form six? Hamuogopi hata kudanganya?

Mnyika ana uwezo na ayafanyayo hata kama elimu yake sio kubwa. Ila hakuna haja ya kudanganya kuweka elimu au matokeo ambayo hana.

Ni kweli mkuu hata mimi nilipata kuckia kwa mtu aliyekuwa darasa moja nyuma ya Mnyika pale Tambaza akisema kuwa Form Six Jamaa alipata Division 2
 
Hujui ya kuwa mwanajeshi akistaafu bado ni mwanajeshi,pakitokea tatizo lolote huitwa kikosi.Kwa nini usitwe wewe!
hans kupiga picha na mwanajesh dhambi
Wakuu wa mikoa wa ccm ambao ni wanajesh wastaafu wengine walikuwa makanali na majenerali si viongoz wa kisiasa wao jesh halifany na kutoa matamko
 

Kiongozi anapostafu Jina la Cheo chake halifi kama unavyofikilia, mfano hata Rais wa Nchi anapostafu lazima aitwe Rais mustafu. Neno Rais hata kuwa ameondolewa ila Cheo cha Urais hatakuwa nacho tendo, ndicho kinachotokea hata kwa hao uliowataja. Naamini utakuwa umeelewa sasa, na Mwanajeshi anayesemekana kuhudhuria kwenye kikao cha chama cha siasa akiwa amevalia vazi la Jeshi kosa lake ni kushabikia Chama na wala si kupiga picha kama vyofikilia. Wote tuungane kukemea hili na wala si kutete uovu kwa kupaste historia ya siku zilizopita, na ndo maana ya kuhitaji katiba mpya ili iyafute hayo yote yaliyokuwa na mlengo wa Chama kimoja. Sijajua ni kwanini kosa litumika kutatua kosa!.
 
Hujui unachoakiongea!!!
Jifunze tofauti kati ya mwanajeshi na mwanajeshi mstaafu. Pia jifunze kuongea mambo kwa evidence...

Evidence ni matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2010, sehemu nyingi ambazo wana jeshi wanaishi CCM ilikuwa hoi...kamuulize Kikwete...
 
Huyu mjeshi aliyepiga picha na kamanda Lema ametufungua wengi. Kuna haja Katiba mpya iliweke vizuri hili




Wanajeshi wasiostaafu wako wengi sana huko ccm kupitia hiyo milango ya ukuu wa mikoa na wilaya.
Namkumbuka pia Kanali Edmund Mjengwa alikuwa mkuu wa wilaya huku akiwa hajastaafu JWTZ.
Hawa watu wasipende kuropoka wakashani hatuna kumbukumbu kama wao.
 
Sihitaji kueleza weledi alonao mh.mnyika lakini kauli ya shimbo katika muktadha ule iliashiria upendeleo fulani kwa ccm hasa ukizingatia katiba ya Tanzania inayosema kuwa matokeo ya urais hayatapingwa katika chombo au ngazi yoyote ile. hivyo kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima ccm itangazwe mshindi wa urais na hivyo vyama vya upinzani vilitakiwa kukubaliana na matokeo hayo. hakukuwa na ulazima wala umuhimu wa kutoa kauli ile hususan katika mazingira ambayo chadema ilionekana kuwa kizingiti dhidi ya ushindi wa ccm katika uchaguzi wa mwaka huo.
 

Hapo kwenye
red; asante sana kwa maelezo "mazuri". Hebu tufafanulie issue ya Kanali Ndomba aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na kwa title hiyo, kwa mujibu wa Katiba ya CCM, alikuwa Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa ya chama hicho.

Huku "ikidhaniwa" ni Kanali "mstaafu" hivi karibuni kapandishwa cheo kuwa Luteni Jenerali na kuwa Mnadhimu wa JWTZ. Au tuelewe kwamba mwanajeshi anaweza kustaafu kisha baada ya muda akarudi tena jeshini kulitumikia Jeshi tena kwa cheo cha juu zaidi?

Hebu weka unafiki pembeni kisha fafanua hili.
 
Hujui unachoakiongea!!!
Jifunze tofauti kati ya mwanajeshi na mwanajeshi mstaafu. Pia jifunze kuongea mambo kwa evidence...

evidence ni kwamba Shimbo ameshiriki kwenye siasa kwa kujiingiza kutoa matamko ya kisiasa.
Hivi hao wanajeshi unadhani ni malaika???
 
Mkuu: Kanali John Antoni Mzurikwao hakuwa mstaafu wa jeshi wakati akiwa mkuu wa wilaya ya kibondo na baadaye kuhamishiwa Sumbawanga.

Kanali Ndomba, alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha (Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa) na baada ya hapo akapandishwa cheo cha kijeshi na kuwa Luteni Jenerali na Mnadhimu wa JWTZ. Unalijua hilo? CCM au jeshi lilisemaje hapo?
 
Mkuu,

Mnyika hana point tatu A-level, ni UWONGO.

Hata yeye yuko hapa na anajua ukweli kwamba hana A tatu kwa A-level.

Mmesoma vizuri thread hii au mmemkurupuka tu?Au aalipata Div IV au Div 0 kabisa.But cha maana kasema nini?Kakubali kuwa ni kosa lakini si la kukamia kama jeshi lilivyokamia mbona hata wakubwa wanafanya makosa?
Hata jeshi polis pia haliruhusu mambo hayo but aliyekuwa IGP (Omary Mahita) mara baada ya kustaafu tu aligombea Ubunge?Ina maana mara baada ya kustaafu tu alikwenda kutafuta kadi ya CCM.
Makosa mengine ni ya kibinadamu.
 

I believe this a is turning point for how politics are played in Tanzania. For long time all of our security institutions have failed to completely dissociate themselves from the one party rule system. We have a serious problem with the top brass of our security forces. They have decided not to recognize the legitimacy of the political pruralism in our country. They can hardly imagine Tanzania without CCM in power. They think it isn't possible and can't live this dire reality.

The middle and and lower cadres in the army are the only ones demanded to fully comply to the separation principles not the senior cadres. The lower cadres popularly known as 'wapiganaji' are marginalized in all sense of the word. They receive minimal remunerations to justly meagrely meet their social amenities. They are not happy at all but their mouths are shut. This applies to TPDF, Police force and National Security. Most of staff are disgruntled but have no place to express their feelings.

As I have pointed out at the beginning of my contribution this is the falcurum of change and I do not see any wisdom within the army or the national leadership to resolve this in the medium terms. I can see a potential civil strife ahead and Tanzanians have to prepare for this, it will come. The political revolution will begin from the armies not any political parties we currently have in our registry. CCM has entrenched itself so much that it is not possible to oust it through political gimmicks, the revolution will start from these very institutions where CCM depends on in hanging to power despited its rejection by the majority of the population. The only wise thing the oppostion parties can do is to influence and cushion such changes so that they are less violent. One of the options is for the army to tell CCM that it is enough they should leave power to another party. The security organs will stop helping the ruling party when a critical number of lower cadres will say no to their superiors.

In 2010 election all our security institutions came upfront to help CCM, CCM were paying heft allowances to lure them to help to rig results by methods which were too subtle for a common mwananchi to understand. They want to use the Judiciary as well to unscrupulously be overturning results of those who legitimately won. It is a tragedy of democracy in Tanzania. If our security forces will continue to help the ruling party to survive even when we citizens do not want it will come to a maximum point where old tricks won't work any more and our beloved members of the security organs will say no.
 

Siku zote ili sheria ziangaliwe upya, kupitiwa upya na kufanyiwa marekebisho basi ni lazima ajitokeze mtu nakuivunja hiyo sheria au kanuni husika (chanzo)!
1. Siku zote na mara ningi tumewaona wanajeshi kwenye sherehe za mwenge,tena wakiwa na sare je ni sahihi?
2. Wanajeshi pia tunawaona kwenye mikutano ya siasa, je ni sahihi?
3. Ni kweli wanajeshi hawana kadi za vyama vya siasa?
4. Je mpaka sasa ni wanajeshi wangapi wastaafu wako kwenye siasa na chama gani?
5. Naanza kupata mashaka huko jeshini wenye vyeo vya juu, wako chama fulani, na wale wa chini chama fulani au wamegawana kwa stahili fulani.
6. Uchaguzi uliopita yaani 2010, je kwenye sehemu ambazo wanajeshi ni wengi, ni chama gani kilishinda hayo maeneo?

Angalizo
1. Ili tusing'ang'anie katiba hairuhusu bila kuangalia wayforward, hebu waanze kwa kura ya siri bila malipizo wajue mioyoni hawa wanajeshi wanawaza nini. Uasi uko moyoni hauko kwenye gwanda!
2. Tume ya katiba je imewasikiliza wanajeshi, hasa wa kati na chini? Je wana maoni gani?
3. Jambo hili lichukliwe kama challenge kwa jeshi na lisitumie nguvu kubwa na hofu kwani, Kama nilivyosema uasi huanzia moyoni.
4. Mwisho tukumbuke hawa ni wanadamu kama sisi, tofauti ni aina ya kazi tu. kupenda si dhambi. Wakumbukeni mapolisi kwenye mechi za simba na yanga, pale ndio utajua kilichomjaa mtu. Mbona wale polisi uanjani hawakamatwi?

Boxing Day njema wana JF

Queen Esther
 
Hii ishu mbona inakuzwa hivi? 90% ya wakuu wa jeshi ccm
 
Chonde chonde Mnyika siasa na Jeshi sio sahihi, CHADEMA kiangalie namna ya kuwa na mahusiano bora na jeshi, huyo mwanajeshi mmoja sio issue
Ni kweli mkuu,chadema wasijivunie ile picha na kutaka publicity ya aina yoyote ile,lile lilikuwa ni kosa kwa lema na kwa askari,lema pale alichemsha, otherwise wasimamie kanuni kuwa wanajeshi wote ni no partisan,na ni marufuku kushiriki siasa.,,kesho na kesho kutwa itakuwa wao.
 
Wakifanya upuuzi waambiwe HEWALA BABA!... Wewe hata mumeo akichukuliwa na rafiki yako ambaye ni mjeshi utawalipia hata gharama za Nyumba ya kulala wageni!!!!!!!
Dada samahan sijakuelewa!
 

Umekurupuka kajipange.Jeshi ni zaidi ya ulijuavyo.
 
Mod:naomba msifute wala kuihamisha hii thread kwa manufaa ya nchi yetu.Pia ningependa pata tool ya kusaidia edit:Siwezi edit Kwa maelezo ya Lema, maelezo ya CDM, na Mwigulu na Shimbo.Ni wazi kuwa Viongozi waandamizi wa JWTZ wana hali ngumu sana na watahitaji sana busara kuwashawishi wanajeshi watiifu kuwa mateso wanayoyapata si ya CCM ?Na kada ya juu yotesi vibaraka wazuri wa CCM?
 
Mkuu zeMaracopolo

Ukiona mwenzio kapewa ukuu wa mkowa nawewe ndo umekalia kiti chake baada ya yeye kustaaafu na kuwa kada, je

hutashawishika kutetea maslahi ya chama ili nawewe ujepewa ukuu wa mkoa hapo baadaye? imekaaje hii!!


Its like a bride or another form of corruption, may be we should call it 'a silent corruption'!
 
Kaka nakushauri hii thread yako itoe haina maana yeyote hapa.Leo mchana umekula nini mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…