Hata Lowasa alikuwa anazijua lakini chali kifo cha mendeMh Nyarandu habahatishi maana anajua mbinu zote walizo kuwa wanazifanya
Aliyekuwa anawazungusha mikono, na kuwaimbisha, mabadiliko! Lowasa! Lowasa! Mabadiliko. Acha tu niseme hiiiiiiiLowasa yupi yule mliye kuwa mnamtukana ?
Wakati wana ccm wakijidanganya kuwa cdm inakufa,
Mambo ni kinyume mkoani singida ambapo mh Nyarandu anazidi kuzoa wana ccm na kujiunga na cdm kila uchao.
Pongezi ziwafikie wana cdm popote pale walipo kwa juhudi za kukijenga chama.View attachment 1151328View attachment 1151329
Aliyekuwa anawazungusha mikono, na kuwaimbisha, mabadiliko! Lowasa! Lowasa! Mabadiliko. Acha tu niseme hiiiiiii
Lipumba amekufanyaje tena jombaa?Lipumba mna hoja gani?
Mmetutia umasikini kwa zaidi ya miaka 55 alafu bado mnajidai mna hoja?
Nyarandu huyuhuyu wa twiga?Songa mbele Nyalandu