- Thread starter
- #21
hujasoma sredi yote.uwe unaleta habari kamili, sio kutupia kichwa cha gazeti tu...na wewe unasoma vichwa vya habri tu kisha unahukumu...yani wewe sio great thinker kabisa
Mimi nimeomba details kamili as hilo gazeti nasikia likichambuliwa msikiti wa jirani na home, mimi siwezi soma hilo gazeti.
Comments za Lipumba ni my perception na sio kulingana na analyisis za upupu wa hilo gazeti