Wana JF nawasalim
Katika pita pita yangu asubuhi nimeona hii tittle Chadema yadaiwa kumnunua Prof. Lipumba
hili gazeti ni pro-CUF+CCM sasa hii inaashiria Lipumba anaanza kuandamwa ndani ya CUF
Kwa wale wanaolisomaga hebu tupeni details au kwa wale wanahudhuria mhadhara wa manzese kwa bakresa tujulisheni
My take:CUF haitakiwi iongozwe na mtu msomi wa kiwango cha Lipumba.
Lipumba is so much educated to associate him self na waandishi majuha wa gazeti la HOJA watamwangusha
Lipumba analazimika kuongea urojo for sometimes ili asikalie kuti manake wale wanachama wa CUF uelewa
wao bora hata Wafuasi wa Mtikila
Katika pita pita yangu asubuhi nimeona hii tittle Chadema yadaiwa kumnunua Prof. Lipumba
hili gazeti ni pro-CUF+CCM sasa hii inaashiria Lipumba anaanza kuandamwa ndani ya CUF
Kwa wale wanaolisomaga hebu tupeni details au kwa wale wanahudhuria mhadhara wa manzese kwa bakresa tujulisheni
My take:CUF haitakiwi iongozwe na mtu msomi wa kiwango cha Lipumba.
Lipumba is so much educated to associate him self na waandishi majuha wa gazeti la HOJA watamwangusha
Lipumba analazimika kuongea urojo for sometimes ili asikalie kuti manake wale wanachama wa CUF uelewa
wao bora hata Wafuasi wa Mtikila