yakowazi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 1,755
- 617
Ndio zimeliwa₩₩₩Chama cha bakuli Kwani zile million 300 na ushee zishaliwa
Ndio zimeliwa₩₩₩Chama cha bakuli Kwani zile million 300 na ushee zishaliwa
Nami nitachangia. Wanayopitia ni udhalimu wa hali ya juu. Kumsaidia yeye aliyepo matesoni, ni ibada iliyo njema mbele za Mungu. Tujiweke karibu na kumkaribia Mungu wetu kwa kushikamana na wenye kudhulumiwa.Mungu akuzidishie
Alirudishiwa nani?Zile fine zilizorudishwa
Dogo kwann hua hujiheshimuMmepata sehem ya kupiga pesa tena maana ile mbinu ya kuchangisha ya mawakili iligomewa ,hapa muuza mayai lazima atoke likotambi
USSR
Ijue nguvu ya elfu 7Dogo kwann hua hujiheshimu
Malaya wa kisiasa .Hela za kwako?unauwezo wa kuchangia 7000/-yenyewe unayofanyia kazi mpka upate laana ya maneno ndiyo uipate.Chama cha bakuli Kwani zile million 300 na ushee zishaliwa
Hakika.Sisi wananchi tunaishukuru sana Chadema kwa kuanzisha jambo hili , tunaahidi kuwa tayari kuchangia
Nitatoa.Mungu ibariki CHADEMA.. Nitatoa
Erythro, fanya hivi.Amina , Mungu akuzidishie
Kaa kimya, jambo la hiari halina malumbano, unaenda msibani badala ya kuchangia pesa za maziko unahoji mbona marehemu juzi aliuza kiwanja!Chama cha bakuli Kwani zile million 300 na ushee zishaliwa
Yani ka elfu 20 tu mkuu?Kesho lazima niweke 20,000 kwenye hiyo account kwa ajili ya familia za hao waliobambikiwa kesi na majizi ya kura.
Taarifa ya sasa inaeleza kwamba Chadema kupitia BAWACHA inawaomba wananchi wote kuchangia Familia za Makomandoo Adamoo na wenzake , walioshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi , ambao inadawa ulifadhiliwa na mshitakiwa mwenzao Freeman Mbowe kwa kitita cha Tsh Laki 6.
View attachment 1966057
Tayari mchakato wa kampeni hiyo umekamilika kwa kufungua akaunti Maalum katika benki ya NMB , yenye namba 22601605514 kwa jina la BAWACHA TAIFA , ambapo yeyote atakayeguswa anaruhusiwa kuweka pesa ili ziweze kusaidia familia za wahanga .
KUTOA NI MOYO
Kwa binadamu mwenye hisia lazima aguswe na hali ya mateso wanayopitia hawa binadamu na familia zao.Dah! I can only imagine their pain
Watakao pinga jambo hili zuri ni masheitwaanSisi wananchi tunaishukuru sana Chadema kwa kuanzisha jambo hili , tunaahidi kuwa tayari kuchangia
Namna ya ku react na sheria sio kutumia nguvu bossWajeda nao waamke bwana! Mnatesewaje watu wenu hivyo nyie mko kimya tu?
Upo sahihi ndugu maana hakuna binadamu anaye ijua kesho yake.Nitachangia Kaka yangu Ni mwanajeshi labda ipo siku pia watamfanyia hivi na yeye atasaidiwa na wengine.
Siku nyingine uwe unaheshimu vikao vya wanaume.Chama cha bakuli Kwani zile million 300 na ushee zishaliwa