Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Lumumba wengi wao mawazo yao ni ya kukwapua rasilimali za watu.Hakuna senti itakayotumika kinyume na kusudio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lumumba wengi wao mawazo yao ni ya kukwapua rasilimali za watu.Hakuna senti itakayotumika kinyume na kusudio
Amen.Mkuu duniani kote hakuna siku madai ya haki kutoka kwa watawala yaliwahi kuenda kwa wepesi.
Watu wengi wanafungwa na wengine wanapoteza maisha.
Inshahlla tutafanikiwa ndugu yangu.
Kinacho kuuma ni kipi ?Wewe umezoea kupewa hela 7000/- .Sisi tunaojua kutafuta mwenyewe acha tuchangie .Haya manyumbu saccos hao tena mpaka mkome😂😂😂
Haikuhusu !!Hii changia ya CDM ni too much
Angalia akili zenu sasa,toka mwaka 90 najitegemea sijawai kuomba hela kwa mtu kwa jambo lolote lile.hata msiba wala harusi sijachukua senti 10 ya mtu wala mchango.Kinacho kuuma ni kipi ?Wewe umezoea kupewa hela 7000/- .Sisi tunaojua kutafuta mwenyewe acha tuchangie .
Sasa Hivi hela nitachangia tena na tena.Kajinyonge basi.Angalia akili zenu sasa,toka mwaka 90 najitegemea sijawai kuomba hela kwa mtu kwa jambo lolote lile.hata msiba wala harusi sijachukua senti 10 ya mtu wala mchango.
Ubarikiwe sanaNipo tayari kuchangia haki huinua taifa
Ni mchango wa hiari boss, sio deni na hakuna kiwango fixed kwani kutoa ni moyo.Yani ka elfu 20 tu mkuu?
Ebu kuwa serious bana