CHADEMA yaanzisha Harambee ya kuchangia familia za walioshitakiwa kwa ugaidi

Kinacho kuuma ni kipi ?Wewe umezoea kupewa hela 7000/- .Sisi tunaojua kutafuta mwenyewe acha tuchangie .
Angalia akili zenu sasa,toka mwaka 90 najitegemea sijawai kuomba hela kwa mtu kwa jambo lolote lile.hata msiba wala harusi sijachukua senti 10 ya mtu wala mchango.
 
Angalia akili zenu sasa,toka mwaka 90 najitegemea sijawai kuomba hela kwa mtu kwa jambo lolote lile.hata msiba wala harusi sijachukua senti 10 ya mtu wala mchango.
Sasa Hivi hela nitachangia tena na tena.Kajinyonge basi.
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom