chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,695
- 4,947
Hivi nyie..madini yanayoyoma. Uchumi mbovu bado mmekalia politiki za ccm na cdm. Ama kweli mmelogwa
Na wewe ni tahira sasa kwa mfumo wa dunia ya leo viongozi wa kulinda hayo madini wanapatikanaje kama sio kupitia siasa(ccm,cdm nk)...au unataka siasa zijadiliwe kwenye nyumba za ibada kama mwenyekiti wako lipumba...utakuja na hoja ya mi sina chama... kama huna chama kaa pembeni maana hata sera za kulinda hayo madini yako zinatungwa na wanasiasa i.e ccm , cdm , cuf nk ambao hutaki kuwasikia.