think3r91
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 469
- 209
Haya yote yanafanyika sasa ama kwa kutaka red brigade ihalalishwe ama green guard ifutwe pia
Walikuwa wapi kutoa huu ushahidi kwa umma tokea kipindi chote hicho wanasubiria sasa ili kutoa tamko?
Miezi miwili iliyopita haya yalikuwa hayazungumzwi!
Siasa.. Ni uongozi wenye kuleta tija sio kupiga domo tu.. Kama wanasiasa wengi wa tz na africa kwa ujumla.
Walikuwa wapi kutoa huu ushahidi kwa umma tokea kipindi chote hicho wanasubiria sasa ili kutoa tamko?
Miezi miwili iliyopita haya yalikuwa hayazungumzwi!
Siasa.. Ni uongozi wenye kuleta tija sio kupiga domo tu.. Kama wanasiasa wengi wa tz na africa kwa ujumla.