Chadema yaandaa maandamano kupinga bei mpya ya umeme

Je mmeangalia TBC Live Ngeleja kuhusu issue ya Tanesco???... Hawa watu wanajaribu kutuconvice na kujustify kwamba ongezeko ni dogo.... jitihada za kupinga maandamano zimekwishaanza......
 
Hivi busara za viongozi wa CDM ziko wapi? mseme tu mnataka umaarufu mkiandamana nchi nzima mnawakoa mafisadi? are you serious!! where is the logic besides CDM is a political party!!!!!!!!!! and not a pressure group!!!! kumbe hata CDM kuna vilaza wa siasa namna hiyo!!! waacheni chama cha watumiaji "consumers whatever they can call them selve" waandamana sana sana muwaunge mkono!!! shame on you. CDM is a powerful and very popular party to seek such a cheap popularity.

Acheni vurugugu zenu mnatuharibia nchi nyinyi na mafisadi sawa tu! tuawaambieni tofauti if you you have any all you want is chaos we are now getting tired and sick of you!!!!!!!!!!!!!. And remmember whatever goes arround comes arround. unless you are sure that you are just a pressure group, so there is no way you will become a rulling party, be prepared to face the same chaos should CDM (GOD forbid! ) come into power in that form!

CDM has greater potential to do well without being a bunch of thugs that is causing chaos every now and then. peolpe will hate it the was they hate FISADIS actully as of now the difference between the two of you is the SAME! (Sic!)
Manina zako toa ukilaza wako hapa kicha maji kabisa cant u see there's 185Billion at the conner?
 
Kutumia njia moja does not mean na njia nyingine zisitumike..... binafsi baada ya kunyonywa naona ni bora tutumia njia zote (any means necessary) leave no stone unturned....

hivi hujui kwamba impact ya umeme kupanda itafanya vitu vingine vyote vipande.... KNOCK ON EFFECT... just come and talk to me two years from now and you will say VOR uliniambia...... Unless tujiunge wote... tuanze kwenye hili.... together we shall overcome......

...Ukisoma post yangu ya kwanza kwenye hii topic, utaelewa najua nini na nini sijui!

...Kuna mtu ali-suggest mjadala wa kitaifa juu ya suala la Tanesco badala ya maandamano. Point yake ya pressure groups na si chama ina maana.

...Nchi kadhaa zilizoendelea kidemokrasia zina activists au pressure groups zinazo-serve, forward, na ku-protect interest za vyama mbalimbali.

...Wito wa maandamano ni mkwala wa kisiasa. Zinahitajika hoja zenye nguvu ambazo zitaungwa mkono na wengi.
 
Hivi busara za viongozi wa CDM ziko wapi? mseme tu mnataka umaarufu mkiandamana nchi nzima mnawakoa mafisadi? are you serious!! where is the logic besides CDM is a political party!!!!!!!!!! and not a pressure group!!!! kumbe hata CDM kuna vilaza wa siasa namna hiyo!!! waacheni chama cha watumiaji "consumers whatever they can call them selve" waandamana sana sana muwaunge mkono!!! shame on you. CDM is a powerful and very popular party to seek such a cheap popularity.

Acheni vurugugu zenu mnatuharibia nchi nyinyi na mafisadi sawa tu! tuawaambieni tofauti if you you have any all you want is chaos we are now getting tired and sick of you!!!!!!!!!!!!!. And remmember whatever goes arround comes arround. unless you are sure that you are just a pressure group, so there is no way you will become a rulling party, be prepared to face the same chaos should CDM (GOD forbid! ) come into power in that form!

CDM has greater potential to do well without being a bunch of thugs that is causing chaos every now and then. peolpe will hate it the was they hate FISADIS actully as of now the difference between the two of you is the SAME! (Sic!)

Govi la ubongo linakusumbua, u r fisadi's beneficiary, hapa umeingia cha kike, wait umetukuta, i will beat, defeat u, days are coming.
 
Mr. President umetumia maneno mengi ili uonekane msomi wakati hakuna hoja uliyoandika. Justify kuwa political party haitakiwi kulinda maslahi ya umma!! Wanasiasa uchwara ndani ya ccm ndo wametufikisha huku na wanapingwa kisiasa kwa maandamano ya amani (njia ya watu wastaarabu na werevu),ingekuwa ni masuala ya kiufundi tungewaachia wahandisi.
 
Dar waunga mkono maandamano kupinga bei ya umeme Thursday, 23 December 2010 20:30

Zulfa Msuya

BAADHI ya Wakazi wa Jiji la Dar es salaam wameunga mkono uamuzi wa Chadema wa kufanya maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya umeme hapa nchini.

Juzi, mkurugenzi wa habari wa Chadema Erasto Tumbo alitangaza kwamba chama chake kitaandaa maandamano kupinga ongezeko la umeme.

Kauli hiyo ilitolewa kufuatia taarifa ya Ewura iliyotolewa wiki hii kwamba umeme utaongezeka bei kwa asilimia 18.5 kuanzia mwakani.
Wakizungumza na Mwananchi jana, baadhi ya wakazi wa Tabata Relini walisema kupanda kwa umeme kumemgusa kila mtu kwani hawaoni sababu ya kupanda kwa umeme.

"Hatuoni sababu ya kupanda kwa umeme kwani siku zote kumekuwa na tatizo la kukatika kwa umeme kwa sababu zisizoeleweka," alisema Mussa Ridhiwani.

Alisema anakipongeza CHadema kwa kuandaa maandamano hayo kwa lengo la kutetea maslahi ya jamii.

"Huu ni uonevu kwani hawa Tanesco wanataka kutunyonya sisi Wananchi kwa kutubambikizia madeni yao na huku matumizi makubwa ya umeme yakiwa kwenye kampuni na ofisi kubwa za serikali,"alisema Juma Hashim.
Wakazi hao waliiomba serikali iwafikirie wananchi walio kwenye hali ya chini kwani kwa hali hii watazidi kudidimia kiuchumi.
 
CHADEMAFORUMS...../JAMIIFORUMS IS THE PLACE WHERE tired heads meet to discuss party issues....you no-members do not intervene.....HAPO VIPI...SIKU KUU NJEMA.....OOH SORRY KUMBE WAKURYA WENGI NI SABATO.NA WAKURYA WENGI NI CHADEMA...SO CHADEMA HAWAN SIKU KUU
(nimewaza lowly kama chadema leo, yaani nime-generalise mno)
 
Tuko pamoja! tukimaliza umeme tuandamane kuhusu maji nafikiri tutapata watu wengi kupita umemebei ya kuweka (wiring) tu umeme iko juu acha maana nyumba zetu huku tunatumia umeme mbadala..maji mbadala hakuna

Besides, wakina mama watakuwa wengi zaidi hivyo police hawawezi kupiga akina mama


At least sasa tunaanza kuelewana!!!!
 
Watanzania wamemaliza uchaguzi wao wa 2010 kwa mafanikio, amani na utulivu.
Serikali ya Rais Mteule inaendelea kuchapa kazi ili kutimiza yale yaliyoahidiwa kwa wa Tz.

Jambo linalosikitisha ni mtindo wa Chama Kikuu cha Upinzani kutafuta kila aina ya kisingizio cha kuhamasisha maandamano, na wakati mwingine kudai yatakuwa ya nchi nzima.

Visingizio vya kipuuzi vya kufanya maandamano haya ni pamoja na:

Kupanda kwa bei ya umeme,
Kuwepo kwa mgao wa umeme,
Kupigwa kwa mbunge wao aliyekuwa anaonyeshana ubabe na Polisi,
na mambo mengine ya kitoto.

Kwa nini viongozi wa chama hiki wasitumie njia mbadala ya kufikisha ujumbe kule walikokusudia? Au ndio uvivu wa kufikiri?

Maandamano hayana tija kwa nchi yetu zaidi ya kuwazuia Polisi kutimiza majukumu yao ya kimsingi. Viongozi makini wa siasa wenye uchungu na nchi yao hawawezi kufanya mambo kama haya yanayorudisha nyuma maendeleo ya nchi.

Wakati umefika wa kuachana na siasa za kitoto.
 
nilitaka nikujibu... lakini ngoja niache sababu nina uhakika jibu unalo ila unataka provocation
 
Mmmhh..hivi ile kadhia ya wabunge ambao hawakuchaguliwa (waliohonga wapinzani wao ili wasigombee) iliishaje? kesi lini?
 
Watanzania wamemaliza uchaguzi wao wa 2010 kwa mafanikio, amani na utulivu.
Serikali ya Rais Mteule inaendelea kuchapa kazi ili kutimiza yale yaliyoahidiwa kwa wa Tz.

Jambo linalosikitisha ni mtindo wa Chama Kikuu cha Upinzani kutafuta kila aina ya kisingizio cha kuhamasisha maandamano, na wakati mwingine kudai yatakuwa ya nchi nzima.

Visingizio vya kipuuzi vya kufanya maandamano haya ni pamoja na:

Kupanda kwa bei ya umeme,
Kuwepo kwa mgao wa umeme,
Kupigwa kwa mbunge wao aliyekuwa anaonyeshana ubabe na Polisi,
na mambo mengine ya kitoto.

Kwa nini viongozi wa chama hiki wasitumie njia mbadala ya kufikisha ujumbe kule walikokusudia? Au ndio uvivu wa kufikiri?

Maandamano hayana tija kwa nchi yetu zaidi ya kuwazuia Polisi kutimiza majukumu yao ya kimsingi. Viongozi makini wa siasa wenye uchungu na nchi yao hawawezi kufanya mambo kama haya yanayorudisha nyuma maendeleo ya nchi.

Wakati umefika wa kuachana na siasa za kitoto.

Je maandamano ya Kutoka nyumbani na kurudi nyumbani: trafic Jam ikoje. Nayo ni upuuzi!! Inapendeza!!

Unagonjwa!!
 
nilitaka nikujibu... lakini ngoja niache sababu nina uhakika jibu unalo ila unataka provocation

Bado natafuta jibu, yatakoma lini?
Dunia inatucheka ati, wengine wanatumia muda wao vizuri wakati sisi tunarudishwa nyuma na wanasiasa uchwara.
 
Je maandamano ya Kutoka nyumbani na kurudi nyumbani: trafic Jam ikoje. Nayo ni upuuzi!! Inapendeza!!

Unagonjwa!!

Kamanda wewe ni great thinker.

Ni vyema umemuuliza haya maandamano yasiokoma ya traffic jam za kila siku mbona huyu fisadi mtoto hayaoni kuwa ni kero??
 
Bado natafuta jibu, yatakoma lini?
Dunia inatucheka ati, wengine wanatumia muda wao vizuri wakati sisi tunarudishwa nyuma na wanasiasa uchwara.
Kwani wewe unaushauri gani mbadala kama wananchi hawasikilizwi ni mbinu zipi watatumia kuprotest..... Kwahiyo hata South Africa walivyokuwa wanaandama kuonyesha kutokuridhika kwao walikuwa ni wapuuzi???
 
Mtoa hoja umefikiria kabla ya kutoa hoja hii????????? Au uhuru wa kuandika na kutoa mawazo, Think twice. Kero za umeme ni too much kama kuna mtu unataka kumtetea sisi tunakereka na mgao na ni walala hoi hatuna uwezo wa kulipa ghara kubwa za umeme wakati unaotaka kuwatetea kila kukicha wao ni kutafuta njia za dharura kupata umeme na kuingia mikataba ya akina Dowasns inayoleta matatizo ya fedha kwa TANESCO
 
Kamanda wewe ni great thinker.

Ni vyema umemuuliza haya maandamano yasiokoma ya traffic jam za kila siku mbona huyu fisadi mtoto hayaoni kuwa ni kero??

Yanatafutiwa ufumbuzi. Hayo ni matokeo ya maendeleo yaliyopigwa na Watanzania ndo maana barabara hazitoshi, kila mtu anajua.
 
Kwani wewe unaushauri gani mbadala kama wananchi hawasikilizwi ni mbinu zipi watatumia kuprotest..... Kwahiyo hata South Africa walivyokuwa wanaandama kuonyesha kutokuridhika kwao walikuwa ni wapuuzi???

Maandamano si utamaduni wa Mtanzania, tuache kuiga mambo ambayo tutakuja kujuta baadaye.
Kujenga hoja na kufikia Maridhiano ndio utaratibu wetu.
 
Back
Top Bottom