Ni swali zuri. Nakupongeza. Naomba nikupe "lecture". Chukua kalamu na karatasi unakili points zifuatazo. Ni kweli maandamano yanayofanyika sehemu mbalimbali nchini ni ya kipuuzi lakini yana mwisho wake, yatakwisha iwapo:
1. Nchi itakuwa na utawala bora na utawala wa sheria.
2. Ufisadi utatokomezwa na watuhumiwa wote kufikishwa mahakamani.
3. katiba mpya itaundwa na kuridhiwa na wananchi wote.
4. CCM ambayo ndio chanzo cha maandamano ya kipuuzi itang'oewa madarakani.
5. Maliasili itatumika kwa faida ya wote
6. Jeshi la polisi litatenda haki kwa vyama vyote na si kuwa jeshi la ccm au chama kingine.
7. Sheria ya nchi itakuwa na usawa kwa wote na sio wengine kuwa juu ya sheria.
8. Maadili ya uongozi yatarejeshwa na uzalendo wa nchi utazingatiwa.
9. Kazi za kitaalamu zitapewa vipaumbele na motisha mzuri kuliko siasa kama ilivyo hivi sasa ambapo nchi imedumaa kwa vile wataalamu wote wameparamia siasa kwenye masilahi mazuri. Wengine wanakimbilia masilahi nchi nyingine.
10. Maisha vijijini yataboreshwa ili watu wasisongamane mijini.
11. Maadili na moyo wa kufanya kazi kuzingatiwa.
Mlolongo ni mrefu unaweza kuongeza. Zitunze points hizo uwe unajisomea kila siku. Lakini iwapo kweli mang'amuzi ya kiakili ni mapana, hata kama wewe ni miongoni mwa mafisadi, bado unaweza kugundua kuwa CCM ndio chanzo cha migomo ya kipuuzi kama unavyoiita. Uamke basi kutoka usingizini na utambue kuwa mtu asiyedai haki yake ndiye mpuuzi! Lakini hao wanaoandamana kudai haki sio wapuuzi hata kidogo!
1. Nchi itakuwa na utawala bora na utawala wa sheria.
2. Ufisadi utatokomezwa na watuhumiwa wote kufikishwa mahakamani.
3. katiba mpya itaundwa na kuridhiwa na wananchi wote.
4. CCM ambayo ndio chanzo cha maandamano ya kipuuzi itang'oewa madarakani.
5. Maliasili itatumika kwa faida ya wote
6. Jeshi la polisi litatenda haki kwa vyama vyote na si kuwa jeshi la ccm au chama kingine.
7. Sheria ya nchi itakuwa na usawa kwa wote na sio wengine kuwa juu ya sheria.
8. Maadili ya uongozi yatarejeshwa na uzalendo wa nchi utazingatiwa.
9. Kazi za kitaalamu zitapewa vipaumbele na motisha mzuri kuliko siasa kama ilivyo hivi sasa ambapo nchi imedumaa kwa vile wataalamu wote wameparamia siasa kwenye masilahi mazuri. Wengine wanakimbilia masilahi nchi nyingine.
10. Maisha vijijini yataboreshwa ili watu wasisongamane mijini.
11. Maadili na moyo wa kufanya kazi kuzingatiwa.
Mlolongo ni mrefu unaweza kuongeza. Zitunze points hizo uwe unajisomea kila siku. Lakini iwapo kweli mang'amuzi ya kiakili ni mapana, hata kama wewe ni miongoni mwa mafisadi, bado unaweza kugundua kuwa CCM ndio chanzo cha migomo ya kipuuzi kama unavyoiita. Uamke basi kutoka usingizini na utambue kuwa mtu asiyedai haki yake ndiye mpuuzi! Lakini hao wanaoandamana kudai haki sio wapuuzi hata kidogo!