Chadema yaandaa maandamano kupinga bei mpya ya umeme

Sawa mkuu andamaneni kwakuwa:-
1. Shillingi imeshuka dhamani
2. Nyumba za kupanga bei zimepanda
3. Maji hakuna huku kimara, etc
4. Foleni zimezidi barabara

Lini tutafanya kazi maana naona mtaandama kwa kila kero katika nchi hii...
nchi kero ni nyingi umeme ni "cha mtoto"

Hujui ulisemalo bwana mkubwa....
 
Hiyo imekaa vyema sana. CHADEMA is part. Chama chenye dira ya mabadiliko. Tuko pamoja sana hiyo january watazoea hawa mafisade.
 
Nadhani mimi na wewe tutakubaliana kabisa kwamba Wanasiasa hawana njia yoyote mbadala ya kuendesha kampuni kwa faida. Hii iwe Marekani au Tanzania, wanasiasa inabidi wajikite kwenye kutengeza sera ambazo zitalinda maslahi ya wananchi.

Kulinda maslahi ya wananchi ndio pamoja na kuwatetea bei zinapokuwa juu kuliko wanavyoweza kulipa......, Hivi upinzani unaweza kusema Tanesco iendeshwe vipi???? Binafsi I think Tanesco Monopoly should cease but thats a long term plan lakini for now we need electricity cost that we can afford.... and we need to show the people in power our grudge..... sitting like ducks and waiting for miracles wont help mtu yeyote....
 
Kulinda maslahi ya wananchi ndio pamoja na kuwatetea bei zinapokuwa juu kuliko wanavyoweza kulipa......, Hivi upinzani unaweza kusema Tanesco iendeshwe vipi???? Binafsi I think Tanesco Monopoly should cease but thats a long term plan lakini for now we need electricity cost that we can afford.... and we need to show the people in power our grudge..... sitting like ducks and waiting for miracles wont help mtu yeyote....

...Bunge ni sehemu nzuri zaidi ya kushughulikia Tanesco.
 
Kulinda maslahi ya wananchi ndio pamoja na kuwatetea bei zinapokuwa juu kuliko wanavyoweza kulipa......, Hivi upinzani unaweza kusema Tanesco iendeshwe vipi???? Binafsi I think Tanesco Monopoly should cease but thats a long term plan lakini for now we need electricity cost that we can afford.... and we need to show the people in power our grudge..... sitting like ducks and waiting for miracles wont help mtu yeyote....

Mzee wa sauti yenye sababu.
Mimi nakubaliana kabisa na swala la maandamano, lakini haya maandamano yasitumike kama sababu ya kuwapangia Tanesco wacharge kiasa gani, kwani mimi na wewe hatujui gharama za uendeshaji ndani ya Tanesco. Bali, haya maandamano yaanzishe mdahalo kuhusu kuipa nguvu Tanesco ikawa yeye ushindani. Kumbuka penye ushindani siku zote pana best price kwa wateja. Tukileta ushindani Tanesco hawataweza kutupangia bei ambazo hazina kichwa wala miguu. Hiyo ndio long term solution.
 
...Bunge ni sehemu nzuri zaidi ya kushughulikia Tanesco.
Kutumia njia moja does not mean na njia nyingine zisitumike..... binafsi baada ya kunyonywa naona ni bora tutumia njia zote (any means necessary) leave no stone unturned....

hivi hujui kwamba impact ya umeme kupanda itafanya vitu vingine vyote vipande.... KNOCK ON EFFECT... just come and talk to me two years from now and you will say VOR uliniambia...... Unless tujiunge wote... tuanze kwenye hili.... together we shall overcome......
 
Kwa hiyo bei itapungua tukishaandamana, bei inaongezeka kutokana na gharama za uzalishaji, uendeshaji etc...(utaalamu, ujuzi wa mambo)

Aisee kwa hili sijawasoma kabisa hawa viongozi wa cdm..ama kweli hasira huondoa busara ...

Baada ya umeme..tuandamane kwa kero ya maji, foleni..etc
 
Kwa hiyo bei itapungua tukishaandamana, bei inaongezeka kutokana na gharama za uzalishaji, uendeshaji etc...(utaalamu, ujuzi wa mambo)

Aisee kwa hili sijawasoma kabisa hawa viongozi wa cdm..ama kweli hasira huondoa busara ...

Baada ya umeme..tuandamane kwa kero ya maji, foleni..etc

Tanesco imekuwa ikipokea ruzuku kutoka serikalini..... Kodi yako pamoja na pesa unazolipia ndizo zinazoendeshea Tanesco (Long term Tanesco inabidi mfumo mzima ubadilike ili iweze kujiendesha kibiashara zaidi) lakini in short term tunaweza tukaibana serikali ili pesa zinazotumika kuwalipa wakuu wa wilaya na kununulia ma V8 na cost za safari za wakuu kwenda kutalii; ili zisaidie kuendeshea Tanesco ili sisi huu mzigo usiwe wetu pekee. Wameshachukua pesa zetu from Kodi na bado wanataka gharama za umeme ziongezeke????

Mzee mmoja alisema hata ng'ombe unapomkamua angalau umpe chakula, ama sivyo badala ya maziwa atatoa damu na mwishowe utamuua.
 
Tanesco imekuwa ikipokea ruzuku kutoka serikalini..... Kodi yako pamoja na pesa unazolipia ndizo zinazoendeshea Tanesco (Long term Tanesco inabidi mfumo mzima ubadilike ili iweze kujiendesha kibiashara zaidi) lakini in short term tunaweza tukaibana serikali ili pesa zinazotumika kuwalipa wakuu wa wilaya na kununulia ma V8 na cost za safari za wakuu kwenda kutalii; ili zisaidie kuendeshea Tanesco ili sisi huu mzigo usiwe wetu pekee. Wameshachukua pesa zetu from Kodi na bado wanataka gharama za umeme ziongezeke????

Mzee mmoja alisema hata ng'ombe unapomkamua angalau umpe chakula, ama sivyo badala ya maziwa atatoa damu na mwishowe utamuua.

Naanza kupata mwanga, ndio kusema maji si kero kuliko umeme au? maana nimechoka na hii kero mitaani kwetu kuliko hata umeme?
 
Naanza kupata mwanga, ndio kusema maji si kero kuliko umeme au? maana nimechoka na hii kero mitaani kwetu kuliko hata umeme?

Knock on effect ya Umeme ni kubwa zaidi, kupanda kwa umeme inamaanisha hata viwandani na uzalishaji mwingine wote utaongezeka gharama; kwahiyo hata gharama za kupump hayo maji zitapanda..... mwisho wa siku kila kitu kitapanda.
 
Knock on effect ya Umeme ni kubwa zaidi, kupanda kwa umeme inamaanisha hata viwandani na uzalishaji mwingine wote utaongezeka gharama; kwahiyo hata gharama za kupump hayo maji zitapanda..... mwisho wa siku kila kitu kitapanda.

Ok, another hawa jamaa si walituibia kura zetu...ni lini tutaandamana kwa kuibiwa kura?

maana bei hawatapunguza hata tukiandamana kila siku, sana sana maandamano yatakuwa kero nyingine....si unajua maisha yetu mjini
 
Kwa hiyo bei itapungua tukishaandamana, bei inaongezeka kutokana na gharama za uzalishaji, uendeshaji etc...(utaalamu, ujuzi wa mambo)

Aisee kwa hili sijawasoma kabisa hawa viongozi wa cdm..ama kweli hasira huondoa busara ...

Baada ya umeme..tuandamane kwa kero ya maji, foleni..etc
Mkuu nakubaliana na hoja yako kwamba gharama zimepanda kwasababu ulizozisema lakini je unakubaliana na umeme kupanda kwa asilimia 18.8% huoni kwamba kiwango ni kikubwa sana au kwakuwa wewe unajimudu kidogo kiuchumi?
 
Ok, another hawa jamaa si walituibia kura zetu...ni lini tutaandamana kwa kuibiwa kura?

maana bei hawatapunguza hata tukiandamana kila siku, sana sana maandamano yatakuwa kero nyingine....si unajua maisha yetu mjini

Tukiandama kuhusu kura (hapa tutakuwa wachache na kibali cha kuandamana hatutapewa)...... tena CCM wanaweza wakasema kuwa hawa jamaa ni waleta fujo, na kupandikiza kwa watu sifa mbaya, kwamba hawa watu wanataka kumwaga damu.... sababu kama unavyojua Tume walisema kwamba kura hazikuibiwa (na kikatiba Tume ikisema ndio kwishney, hakuna pa kwenda)

Ila suala la umeme linamgusa kila mtu awe (CUF, CHADEMA, NCCR, CCM etc), alafu ndugu yangu peoples power bwana wananchi wakiamua wote hakuna mtu anayeweza kuwasimamisha hata vije vifaru.... hakuna.... na viongozi wetu wanajua hilo... wakiona watu wana kero hawana jinsi bali kutekeleza
 
Tukiandama kuhusu kura (hapa tutakuwa wachache na kibali cha kuandamana hatutapewa)...... tena CCM wanaweza wakasema kuwa hawa jamaa ni waleta fujo, na kupandikiza kwa watu sifa mbaya, kwamba hawa watu wanataka kumwaga damu.... sababu kama unavyojua Tume walisema kwamba kura hazikuibiwa (na kikatiba Tume ikisema ndio kwishney, hakuna pa kwenda)

Ila suala la umeme linamgusa kila mtu awe (CUF, CHADEMA, NCCR, CCM etc), alafu ndugu yangu peoples power bwana wananchi wakiamua wote hakuna mtu anayeweza kuwasimamisha hata vije vifaru.... hakuna.... na viongozi wetu wanajua hilo... wakiona watu wana kero hawana jinsi bali kutekeleza

Tuko pamoja! tukimaliza umeme tuandamane kuhusu maji nafikiri tutapata watu wengi kupita umemebei ya kuweka (wiring) tu umeme iko juu acha maana nyumba zetu huku tunatumia umeme mbadala..maji mbadala hakuna

Besides, wakina mama watakuwa wengi zaidi hivyo police hawawezi kupiga akina mama
 
Nilifikiri huwa huelewi. Hayo juu ndiyo nilikuandikia na ukaishia kusema Biblia.

Umeme ndiyo MSINGI wa maendeleo dunia ya leo. Kama itatokea vita ya tatu ya dunia basi itahusu ENERGY. Vita zote za nchi za Kiarabu, Nigeria, Sudan nk ni energy. Umeme ni energy kwa hiyo usifanye mchezo na hii kitu.

Nilishawahi kufika Mlandizi kwenye mitambo ya maji. Zile mashine zinakula umeme si kawaida. Motor moja ilikuwa ikitumia 3,000Watts na kila motor huwezi kuamini ilikuwa na Transoformer yake pekee. Jamaa yangu aliniambia kuwa wakizima umeme Pampu moja (motor moja) basi Tanesco wanapiga simu kuuliza kulikoni huko mmezima Pampu?

Kwa maana nyingine MAJI bila umeme ni kichekesho. Umeme ndiyp unaendesha viwanda, mitambo, hospital, shule nk nk nk. Na siku Tanzania tutakuwa na UMEME wa kuaminika, amini amini nakuambia, nusu ya matatizo yatapungua maana nchi yenye umeme ujuwe hiyo tayari wanafikiria maendeleo ya nchi yao na tena ya LONG TERM. Ukiona hamna umeme basi ujuwe hao kweli bado wako GIZA.

Tuanze kwanza na hili na mengine yatafuata. Najua hili tutakuwa wengi maana ukiandamana leo kuhusu Uchaguzi basi yatakuwa kama haya yanayotokea sasa hivi huko Belarusian kwa Rais Lukashenko.



Mijitu inapenda madaraka saana. Kibaya kuna watu wanafurahia mara ikitumika neno UPINZANI wanataka kuleta VITA. Sasa kwa Umeme, Maji, barabara, foleni za barabarani nk itabidi tu waachie......
Tuko pamoja! tukimaliza umeme tuandamane kuhusu maji nafikiri tutapata watu wengi kupita umemebei ya kuweka (wiring) tu umeme iko juu acha maana nyumba zetu huku tunatumia umeme mbadala..maji mbadala hakuna

Besides, wakina mama watakuwa wengi zaidi hivyo police hawawezi kupiga akina mama
 
Last edited by a moderator:
Hivi busara za viongozi wa CDM ziko wapi? mseme tu mnataka umaarufu mkiandamana nchi nzima mnawakoa mafisadi? are you serious!! where is the logic besides CDM is a political party!!!!!!!!!! and not a pressure group!!!! kumbe hata CDM kuna vilaza wa siasa namna hiyo!!! waacheni chama cha watumiaji "consumers whatever they can call them selve" waandamana sana sana muwaunge mkono!!! shame on you. CDM is a powerful and very popular party to seek such a cheap popularity.

Acheni vurugugu zenu mnatuharibia nchi nyinyi na mafisadi sawa tu! tuawaambieni tofauti if you you have any all you want is chaos we are now getting tired and sick of you!!!!!!!!!!!!!. And remmember whatever goes arround comes arround. unless you are sure that you are just a pressure group, so there is no way you will become a rulling party, be prepared to face the same chaos should CDM (GOD forbid! ) come into power in that form!

CDM has greater potential to do well without being a bunch of thugs that is causing chaos every now and then. peolpe will hate it the was they hate FISADIS actully as of now the difference between the two of you is the SAME! (Sic!)

Nyantella ndio unaamuka? au umekuwa chizi? hatuna wanachadema wavivu wa kufikiri kama wewe tafuta forum nyingine harafu ujibadilishe ujiite mwana cuf. Hatuna crapist wa namuna hiii, tutaandamana na utapata shida -kiwewe kitawakumba na mtaumbuka -CDM ni makini na inafanya vitu kwa umakini sema wewe ni cuf au ccm -mnafiki mkubwa na unayetumwatumwa kuandika utumbo kwa kuwa na mawazo mgando, think outside the box!
 
Hongera CDM. Hivi ni vita vya kifisadi, ni vya kuhujumu uchumi. Ni lazima vipiganwe kwa nyanya zote, kwenye majukwaa ya kisiasa, kijamii na kisayansi. Ni vita kati ya mwanga na giza
Mtuonyesheeni njia. Tupo pamoja, ni lazima tuandamane mpaka kieleweke.
Iwapo wananchi wataeleweshwa chanzo na sababu ya ongezeko pamoja na madhara yake kiuchumi na kufanywa kuwa maskini na watumwa zaidi wanachi watawaelewa.
Maandamano yaanze mapema na kwa nguvu kubwa kabla ya terehe 15 Januari wakati wanatayarisha bill.
Hawa ni mafisadi ambao ni mafidhuli. Wameshaanza kula nyama ya watu kwa kuiba kura, kujilipa malipo ya wizi kama Dowans, wamepigania nafasi zote za kiutendaji, wanatugawa kwa imani na kikabila wataendelea bila mwisho.
CCM ilaaniwe
CDM tusaidieni kupigania wanyonge
 
Sio kuandamana tu, pia tugome walau siku moja tu wote tuzime umeme majumbani kwetu waone!
 
Back
Top Bottom