..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
Mimi sio mtaalamu wa kiswahili lakini neno lililotumika "tunataka" kidogo linaleta ukakasi kwa watu wenye uelewa wa chini badala yake wangetumia "tunashauri"..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
Wazo na tamko ni rahisi sana kwa sababu halibebi ukweli kivitendo! Unaweza kuwaza lolote na kutoa tamko lolote lakini hii haiondoi ukweli kuwa unachofanya ni kupayuka tu...wazo, tamko, maamuzi, halafu vitendo.
..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
Neno "tunataka" linaleta "ukakasi" kwa vipi?lililotumika "tunataka" kidogo linaleta ukakasi kwa watu wenye uelewa wa chini badala yake wangetumia "tunashauri"