CHADEMA watoa tamko kuhusu Virusi vya Corona

Mkuu Joka Kuu, kama Chadema imeonyesha weledi kuliko serikali, jee hii ina maana sasa Chadema imewiva kiasi kwamba sasa inaweza kuaminiwa na Watanzania kuongoza serikali?.
By the way, Chadema kila mtu ni msemaji wa chama?
P

..cdm wame-close intellectual / talent gap iliyokuwepo kati yao na watendaji wa serikali na ccm.

..zamani ilikuwa ukisikiliza hoja za kiongozi wa serikali vs za kiongozi wa cdm unaona yule wa serikali ana weledi zaidi.

..sasa hivi naona ile " gap " imefutika. Nimeanza kushuhudia cdm wakijenga hoja zenye mashiko, na wakionyesha weledi, kuzidi watu wa serikali au ccm.

..Na ukumbuke cdm hawana resource walizonazo ccm au serikali.
 
..cdm wame-close intellectual / talent gap iliyokuwepo kati yao na watendaji wa serikali na ccm.

..zamani ilikuwa ukisikiliza hoja za kiongozi wa serikali vs za kiongozi wa cdm unaona yule wa serikali ana weledi zaidi.

..sasa hivi naona ile " gap " imefutika. Nimeanza kushuhudia cdm wakijenga hoja zenye mashiko, na wakionyesha weledi, kuzidi watu wa serikali au ccm.

..Na ukumbuke cdm hawana resource walizonazo ccm au serikali.
This is a goos start, kwa vile waajiri ni wananchi, ukiweza kuonyeshea kuwa unaweza, wananchi wakakuamini unaweza, then wanaweza kukukabidhi. Kama wapinzani wana close the gap ya kuonyesha weledi zaidi, hii maana yake wananchi watawaamini zaidi wapinzani, ukifika ule muda wa kufanya maamuzi, wananchi wanaweza kuchukua CCM na kutupa kule, kisha kuwaita wapinzani na kuwakabidhi nchi!.
P
 
Polepole chukua hiyo kutoka kwenye akili kubwa achana na akili za kutetea ulaji wakati watanzania tumevamiwa na korona.
 
Nashukuru mmepokea ushauri wangu wa leo asubuhi kwamba nyie kama chama kikuu cha upinzani mnapaswa kunena japo neno hata kama hamna pointi watanzania tutawaelewa!
Nyie wenye point mbona hamkujipanga mapema kukabiliana na hii hali.
 
Mimi sio mtaalamu wa kiswahili lakini neno lililotumika "tunataka" kidogo linaleta ukakasi kwa watu wenye uelewa wa chini badala yake wangetumia "tunashauri"

Ushauri wao niwamsingi ukichambuliwa vizuri na kufanyiwa kazi kwa haraka tutaweza kupunguza speed ya maambukuzi na kuendelea na shughli za maendeleo.

Asante mtoa mada umeeleweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lugha sahihi ni kuitaka serikali itekeleze hayo yote. Huwezi kuishauri au kuiomba serikali inayotumia kodi zetu.
 
Hiyo lugha ya kuvimbishana misuri haikuwa na haja....
Na hana hiyo mamlaka ya kuitaka serikali..
Yes kushauri ingekuwa better.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe ni raia wa wapi? Raia wa Nchi anayelipa kodi ana haki ya kuitaka serikali itoe huduma stahiki kwa kutumia hizo kodi.
Au mwenzangu wewe ni mhamiaji haramu unayeogopa kufukuzwa siku ukijaribu kuielekeza serikali matumizi ya kodi yako?
 
..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.



CHADEMA wako vizuri Sana kimikakati.Hotuba ya John Mrema imejaaa madini matupu kuliko Ummy Mwalimu-Waziri wa Afya.
Natamani huyu Mrema ndie angelikuwa Waziri wa Afya ingependeza Sana....!!
 
..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.


Naona mwenyekiti wa kikundi cha wahuni kaogopa kuongea kaona atume wenye akili, na baada ya kuwasema jana na juzi ujinga wao hapa jukwaani naona leo wamekuja angalau kwa hoja, hicho ndicho tunachotaka watanzania na siyo ngonjera za mbow na lema. Nadhani hawa jamaa wanafaa kuwa viongozi wa juu ili kuleta usawa wa hoja
 
This is a goos start, kwa vile waajiri ni wananchi, ukiweza kuonyeshea kuwa unaweza, wananchi wakakuamini unaweza, then wanaweza kukukabidhi. Kama wapinzani wana close the gap ya kuonyesha weledi zaidi, hii maana yake wananchi watawaamini zaidi wapinzani, ukifika ule muda wa kufanya maamuzi, wananchi wanaweza kuchukua CCM na kutupa kule, kisha kuwaita wapinzani na kuwakabidhi nchi!.
P
Hao wananchi wameporwa mamlaka hata ya kuchagua viongozi wa mtaa wataanzia wapi kupewa mamlaka ya kuibadilisha serikali? Hili labda litawezekana siku wananchi wakiamua kupambana na dola kuwezesha kubadili serikali.

Tungeanzia pale kwenye mtaa wako, mwenyekiti na mjumbe. Wewe P uliruhusiwa kupiga kura kumchagua uliyemwona anafaa? Au na wa kwako waliwapitishia na kumchagua juu kwa juu gizani mtaa wa Lumumba?

Kama uliwachagua kwa kuwapigia kura na wakashinda hongera sana. Ila kama hukuruhusiwa hata kumchagua mjumbe sidhani kama hao wa huko juu utasikia hata harufu ya kura.

Mwaka huu kama utapiga kura, utakapoitumbukiza kwenye kiboksi itakuwa ni sawa na mtu aliyejifuta kisha akatumbukiza kipande cha toilet paper aliyojifutia kwenye tundu la choo.
 
Mimi sio mtaalamu wa kiswahili lakini neno lililotumika "tunataka" kidogo linaleta ukakasi kwa watu wenye uelewa wa chini badala yake wangetumia "tunashauri"

Ushauri wao niwamsingi ukichambuliwa vizuri na kufanyiwa kazi kwa haraka tutaweza kupunguza speed ya maambukuzi na kuendelea na shughli za maendeleo.

Asante mtoa mada umeeleweka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hi ni nji ya Vyama vingi kulingana na Katiba ya JMT na CHADEMA Ni chama rasmi kinachoongoza KUB kina MaWaziri vivuli wanaotambuliwa Kikatiba Bungeni na hoja na Hotuba zao zinaingia kwene HANSARD.

Kwa HIYO kama kuna issue ya Kitaifa kama ilivo sasa kwene hili la CORONA VIRUS...CHADEMA Wana Haki ya KUITAKA SERIKALI na SIYO kuishauri au kuiomba..,.Na kazima Serikali watimize takwa Hilo maana linahusu nchi wala co CHADEMA....!
Umeelewa we fisi wa Lumumba??
 
Supporting ujinga ni special courage...
Unataka serikali ati kwakuwa umelipa kodi
Kwani wewe ni raia wa wapi? Raia wa Nchi anayelipa kodi ana haki ya kuitaka serikali itoe huduma stahiki kwa kutumia hizo kodi.
Au mwenzangu wewe ni mhamiaji haramu unayeogopa kufukuzwa siku ukijaribu kuielekeza serikali matumizi ya kodi yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..cdm wame-close intellectual / talent gap iliyokuwepo kati yao na watendaji wa serikali na ccm.

..zamani ilikuwa ukisikiliza hoja za kiongozi wa serikali vs za kiongozi wa cdm unaona yule wa serikali ana weledi zaidi.

..sasa hivi naona ile " gap " imefutika. Nimeanza kushuhudia cdm wakijenga hoja zenye mashiko, na wakionyesha weledi, kuzidi watu wa serikali au ccm.

..Na ukumbuke cdm hawana resource walizonazo ccm au serikali.
Unapotumia neno "Weledi" uwe mwangalifu. Weledi linatokana na taaluma yako. Niambie viongozi wa CDM wan taaluma zipi za kuweza kutoa matamko yenye weledi ndani yake. Bado kuna shida kubwa ya uelewa ndani ya Chama. Weledi siyo jambo la kuuliza halafu unakwenda kusimulia uliyoelezwa.
 
Back
Top Bottom