Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,601
- 217,992
Ukweli mtupu !Mbona jamaa wamewawahi?.
Mrema asingeweka wazi ungesikia tumetumia kiasi Fulani Cha pesa kununua vifaa vya kusaidia kujikinga ambavyo vinatakiwa kuchukuliwa Ethiopia.
Ukweli mtupu !Mbona jamaa wamewawahi?.
Mrema asingeweka wazi ungesikia tumetumia kiasi Fulani Cha pesa kununua vifaa vya kusaidia kujikinga ambavyo vinatakiwa kuchukuliwa Ethiopia.
..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
Tutafika hata kwa kuwaburuzaMwambie mbowe atangaze! Sihuwa anatangaza!? Huna nguvu yakuitaka serikari.
Mkuu Joka Kuu, kama Chadema imeonyesha weledi kuliko serikali, jee hii ina maana sasa Chadema imewiva kiasi kwamba sasa inaweza kuaminiwa na Watanzania kuongoza serikali?...Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
Mimi ni Mtanzania na siitegemei Chadema kwa lolote. Wewe unaitegemea kwa lipi kwenye maisha yako?Chadema Tegemeo la Watanzania
Baada ya kuwananga mmeamua kudesa kwa Mbatia na Zitto.Kipaumbele cha kufanya mikutano vipi?..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
Mkuu Joka Kuu, kama Chadema imeonyesha weledi kuliko serikali, jee hii ina maana sasa Chadema imewiva kiasi kwamba sasa inaweza kuaminiwa na Watanzania kuongoza serikali?.
By the way, Chadema kila mtu ni msemaji wa chama?
P
Ni lini CCM iliaminiwa kuongoza watanzania?Mkuu Joka Kuu, kama Chadema imeonyesha weledi kuliko serikali, jee hii ina maana sasa Chadema imewiva kiasi kwamba sasa inaweza kuaminiwa na Watanzania kuongoza serikali?.
By the way, Chadema kila mtu ni msemaji wa chama?
P
Matumizi ya lugha kwa viongozi wetu sio jambo lakufuatilia sana maana kuna maneno yanatumika adi mtu unashtuka. Kwa mtazamo wangu sioni tatizo katika neno tunataka, hii ni kwa sababu ya jambo husika linalo zungumziwa. Lakini huo ni mtazamo wangu mimi kama mimi.Mimi sio mtaalamu wa kiswahili lakini neno lililotumika "tunataka" kidogo linaleta ukakasi kwa watu wenye uelewa wa chini badala yake wangetumia "tunashauri"
Ushauri wao niwamsingi ukichambuliwa vizuri na kufanyiwa kazi kwa haraka tutaweza kupunguza speed ya maambukuzi na kuendelea na shughli za maendeleo.
Asante mtoa mada umeeleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu eti na wewe una haki sawa ya kutoa mawazo na kupiga kura ...aiseee inauma ila ndo hivyoHicho chama kimegeuka kuwa kikundi cha kupiga fedha za rudhuku mkuu p.
Mrema anaongea, Lema anaongea, mbowe yeye sasa anazidi kuhamasisha vikao.
Mi ninavyojua kazi ya chadema saivi nikutengeneza kesi nakupiga pesa kupitia mawakiri.