Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
Mimi sio mtaalamu wa kiswahili lakini neno lililotumika "tunataka" kidogo linaleta ukakasi kwa watu wenye uelewa wa chini badala yake wangetumia "tunashauri"..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
Tamko bora kwa matakwa ya nani na kwa kutumia vigezo gani vya kimataifa?
Acha kuzifanya fikra zako kama ni mwamvuli wa fikra za kila mtu!
Kinachofanya kazi ya msingi sio tamko bali matendo!
Wazo na tamko ni rahisi sana kwa sababu halibebi ukweli kivitendo! Unaweza kuwaza lolote na kutoa tamko lolote lakini hii haiondoi ukweli kuwa unachofanya ni kupayuka tu...wazo, tamko, maamuzi, halafu vitendo.
..Tangazo la CDM linaonyesha weledi kuliko lile la serikali.
Neno "tunataka" linaleta "ukakasi" kwa vipi?lililotumika "tunataka" kidogo linaleta ukakasi kwa watu wenye uelewa wa chini badala yake wangetumia "tunashauri"