Ndugu wana JF.
Mimi kama Mtanzania mpenda maendeleo na nimwana CDM mwenye kadi. Napendekeza tuangalia kwa undani suala la maelendeleo na suala zima la kuwahimiza watanzania na kuwajengea uwezo wa kujiajiri badala ya kufanya malumbano kila mara. Mimi sipendezwi sana na hii hali. Sikatai kuwa Serikali inatumia nguvu sana kutatua migogoro ya Arusha lakini mpaka sasa Arusha maendeleo yamedororo sana. Je Sisi kama Watanzania tutoe mawazo ambayo yatasaidia chama chetu kiweze kusonga mbele.
Pili tuwahamasishe watz kutopenda rushwa. Rushwa sio viongoziwa juu tu bali kuanzia kununua Sukari, Cementi, Mbao, Bati, kupata huduma maofisini ni Rushwa tu. Muuza bati mmoja alisema yeye hununua bati nyingi tu gauge 32 lakini usiku vijana hukesha wakikata bati na kuzigonga muhuri wa gauge 30. Je hii hali sisi kama wana CDM tunaionaje, Kweli Sukari imepanda kwa sababu ya Dola au kuna kitu nyuma yake.
Tutafakari sana.
Peoples Power
Mimi kama Mtanzania mpenda maendeleo na nimwana CDM mwenye kadi. Napendekeza tuangalia kwa undani suala la maelendeleo na suala zima la kuwahimiza watanzania na kuwajengea uwezo wa kujiajiri badala ya kufanya malumbano kila mara. Mimi sipendezwi sana na hii hali. Sikatai kuwa Serikali inatumia nguvu sana kutatua migogoro ya Arusha lakini mpaka sasa Arusha maendeleo yamedororo sana. Je Sisi kama Watanzania tutoe mawazo ambayo yatasaidia chama chetu kiweze kusonga mbele.
Pili tuwahamasishe watz kutopenda rushwa. Rushwa sio viongoziwa juu tu bali kuanzia kununua Sukari, Cementi, Mbao, Bati, kupata huduma maofisini ni Rushwa tu. Muuza bati mmoja alisema yeye hununua bati nyingi tu gauge 32 lakini usiku vijana hukesha wakikata bati na kuzigonga muhuri wa gauge 30. Je hii hali sisi kama wana CDM tunaionaje, Kweli Sukari imepanda kwa sababu ya Dola au kuna kitu nyuma yake.
Tutafakari sana.
Peoples Power