CHADEMA wapunguze migogoro na serikali

CHADEMA wapunguze migogoro na serikali

Ndugu yangu iliezansha maada hii nakuunga mkono kabisa,japo kuna watu wametoa kejeli juu ya mawzo yako.lakini ukweli ni kwamba cdm ikiendelea na siasa ya namna hii haiwezi ikafika popote,kwani lazima kujua tamaduni za kitanzania ni zipi?? Watanzania wengi sana wanapenda amani,unapotumia nguvu na vurugu kudai haki,hata kama unachdai ni sahihi utaonekana hauko sahihi.naomba tujikite zaidi katika kuleta mabadfiliko ya kweli katika maisha na hali duni ya wanachi hasa katika majimbo amabayo yako chini ya cdm,kwani hiki ndio kipaumbele cha wananchi cha kwanza,sizani na siamini mtapewa kura na wananchi kuongoza taifa hili kwa kigezo cha kuonesha mnapingana kiasi gani na serikali bila hata kuonesha nyinyi mmetatua vipi matatizo ya wananchi??.mfano mzuri ni tyaliotokea leo arusha,watu sasa wanalalamika wamepigwa,vujiwa na kualibiwa mali zao,kisa tu wamekataa kushiriki maandamano ya kupinga kuwekwa ndani kwa mbunge wao.sasa hapa hii ni demokrasia gani??imeonesha mfano gani na tofauti yetu iko wapi na hao mnaowapinga?? Tuwe makini jamani,tufanye siasa za kutaka "cheap popularity" kamwe hazitafikisha chama popote!!na tuwe watu wa kukubali mawazo ya wengine,sio kila anaetoa mawazo mbadala wanaoneka katumwa au hakitakii chama mema,wengi wameshindwa harakati zao kwa kuwa na maono finyu kama haya.tupime nini kipaumbele cha watanzani kwa sasa?? Naomba tuchukue muda jinsi angel machel (kansela wa ujerumani) na chama chake walivyoweza kufanikiwa kucchukua dola,kifupi ni kwa kutoa msuluhisha mbadala kwa matatizo ya wanachi na sio kukicha kugombana na kulia kuonewa,"people's sympathy"(kulalamika kwa wananchi mnaonewa,ili mpate ghuluma yao na kupewa kura za huruma) kamwe haijawahi kukipa chama madara ila" people's confidence" (ianatokana na imani ya wananchi kwenu kwa kuonesha uwezo wa kutatua matatizo yao hata kwa madaraka madogo mlionayo)

Nashukuru ndugu, Maana mimi nimetoa mawazobaadhi ya Watz humu nao ni siasa tu kila kitu tufike mahali tujaribu kuangalia. Ili tuitoe CCM madarakani tuhitaji strategy na kupata katiba mpya. Mimi binafsi nasema umeniunga mkono nami niko nawe kabisa kimawazo. Mimi ni CDM kabisa na nina kadi yangu. So haya mawazo viongozi wetu wayafanyie Kazi. Mh Dr Slaa hebu tusaidie, Tutumie mbinu mbadala kutatua matatizo. Lini Arusha watafuatilia hata miradi ya Maendeleo kama Kila siku Lema yupo Polisi. Najua CCM wanatumia nguvu sana lakini kama wananchi tayari wanakipenda CDM kilichobaki ni kupata wana CDM wengi huko vijijini na mijini, Wasomi na wasiowasomi ili 2015 tushike nchi.

Ni hayo.
 
Back
Top Bottom