Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa amesema Chadema haitambui mswada wa mchakato wa katiba mpya kwani umechakachuliwa na bado umempa madaraka makubwa Rais kuingilia mchakato huo. Dr Slaa ameonya kama serikali haitasalimu amri na kubadilisha basi Chadema itawaongoza watanzania kuupinga kwa njia zote itakazoona zinafaa.
SOURCE-ITV SAA 2 HABARI
SOURCE-ITV SAA 2 HABARI