Hv hatuwezi kujiunga wana jf naamin wako kila kona tumtoe kikwete magogon'maana hii ile inavyoshuka thamani ni balaa
1.kila mwanajf akipata watu 50 tukutane jangawani
2.tukae pale huku tunapanga mikakati ya kwenda magogoni
3.tujiandae na mavyakula na ela za kutosha
tukimchekea kikwete tutaenda dukani na ela kwenye kapu
Niko Tayari
nafikiri jamaa wa gamba wanahamu na Bengazi. sisi hatuitaji NATO tutamaliza mchezo wenye
tuko pamoja
Duu! Watz na vurugu za mdomoni hamjambo. Mgekua mnajitokeza kweli kwenye kila mkakati mmekalia propaganda za Jf tuu.
Hv hatuwezi kujiunga wana jf naamin wako kila kona tumtoe kikwete magogon'maana hii ile inavyoshuka thamani ni balaa
1.kila mwanajf akipata watu 50 tukutane jangawani
2.tukae pale huku tunapanga mikakati ya kwenda magogoni
3.tujiandae na mavyakula na ela za kutosha
tukimchekea kikwete tutaenda dukani na ela kwenye kapu
Nimejisikia kuogopa sana kwa mchezo ambao Serikali inaufanya kuhusu Katiba. Kwa mchezo huu ni wazi kuwa Serikali haijiamini, Rais haijiamini, na CCM ni vivyo. Hivi likitibuka Watawala watafanya nini? Ni wazi watatumia nguvu nyingi sana za dola kupambana na umma na gharama yake wataenda kuilipa The Hague.