CHADEMA wanaweza kupoteza jimbo la Moshi Mjini

CHADEMA wanaweza kupoteza jimbo la Moshi Mjini

moshi nyingine sio ambayo Jana walipita ccm mida ya saa 1 jioni katikati ya mji wakazomewa hadi aibu.
 
Yale mabango ni pesa zinaingia kwenye halmashauli yetu, Kwahiyo alete mabango mengi tu..tutachukua pesa. Tunaenda kulipia ada watoto wasio na uwezo.. Kampeni wamefungua jana, kaja kinana, olesendeka, sijui nani,, chadema wamezindua kampeni na ndesa pesa tu..hiyo tosha ni kuwa Mosha Hawezi mziki wa chadema moshi.. Mama minde alipigiwa kampeni na mkapa, na viongozi wote wa ccm alikimbia asubuhi tu...Mosha Ajui kama Mwenyekiti wake kikwete alikuja moshi miezi minne nyuma,, akamsifia jafarry Michael kuwa kafanya kazi kubwa, akampongeza sana mbele ya viongozi wote wa chama chake na viongozi wa mkoa,, leo Mosha uje na pesa zako za kugawa tukupe ubunge? Huna hata duka la kuuza soda moshi... Jafarry kawapa ajira vijana watu.. Leo hii tukupe ubunge sahau.. Sasa kampeni tayari.. Sijui nani anasaidia kufanya mikutano maana, watakula pesa yako yote na utagundua umeliwa....... Pole

Msimu wa Fursa huu ukiwa na Pesa hata kama hukubaliki wapambe lazima wajitokeze wavune mapesa.Ndicho kinachomtokea Mosha.Wapambe wanaangalia zaidi fuko la pesa.Siku ya kupiga kura ndo ataona maajabu
 
Hapa moshi hata Yesu agombee CCM hlf chadema waweke jiwe..basi watu wanachagua jiwe..MOSHA H A P I T I.

una akili ww? Hivi unamjua Yesu au unabwabwaja hapa, tafadhali sana usimuhusishe Yesu wangu na upumbavu wako kama kwako hana dhamani nyamaza kimya. Kwangu mimi bora nikose vyote kuliko kumkosa Yesu.
 
  • Thanks
Reactions: nao
nyie wenyewe kanda yenu mnaukabila hv mnadhan ndo tukubl kuongozwa na rais mwenye itikad za kikabila?nuts
 
Kosa number moja la mosha abari za chini chini anaurafiki mkubwa sana na adui wa watu wa kasikazini aliye sema rais hawezi toka pande hizo!
Kosa number mbili watu wa moshi hawaheshimu utajiri na niwajeuri sana kwa mtu mwenye pesa wanaweza kuuwa ukiwa una cheka nao ndicho kinacho mtokea mosha wata kula pesa na kura hawata mpa na akisha shindwa watamtukana bila kufumba macho kama mosha utasoma akindiko hili utakuja kuona mwenyewe na macho yako yakishuhudia na masikio yakisikia!!!
 
UKABILA PELEKA HUKO KWENU . Moshi mjini ina watu wa makabila yote wakazi wa Kilimanjaro huwa hawaishi mjini wanafika mjini na kuondoka . Kinondoni inaweza kuwa na wachagga wengi kuliko moshi mjini mpumbavu mkubwa wewe
 
Paka sasa upepo WA moshi MJINI unaonesha Davis mosha wa chama cha mapinduzi CCM anakubalika kwa vijana NA wazee..vile vile dhana ya ukabila inaweza kujitokeza baina ya wagombea hawa..sijui kama wachaga watakubali kuongozwa na mpare?Abel sere 4m moshi town
Naona amekutuma uje upime upepo,watu wa Moshi wameshaamua ni CDM tu na hiyo dhana ya ukabila mwambie apeleke Old Moshi si kwa hapa mjini!
 
Jafari ndio mbunge wa moshi anasubiri kuhapishwa Mosha anakiri mwenyewe moshi aitaki kubadilika kuwa ccm anafanya kampeni za bora liende anajua mbunge ni nani ata watu wake wa karibu wanajua na ashawaeleza
 
Kwa sabab unapima upepo sio kosa lako! Moshi ni zaid ya wapare na wachaga! Halaf hiz sera zako peleka nyumban kwenu sio moshi
Paka sasa upepo WA moshi MJINI unaonesha Davis mosha wa chama cha mapinduzi CCM anakubalika kwa vijana NA wazee..vile vile dhana ya ukabila inaweza kujitokeza baina ya wagombea hawa..sijui kama wachaga watakubali kuongozwa na mpare?Abel sere 4m moshi town
 
UKABILA PELEKA HUKO KWENU . Moshi mjini ina watu wa makabila yote wakazi wa Kilimanjaro huwa hawaishi mjini wanafika mjini na kuondoka . Kinondoni inaweza kuwa na wachagga wengi kuliko moshi mjini mpumbavu mkubwa wewe

Umemwambia ukweli huyu kenge maji sina la zaidi.
 
Hapa moshi hata Yesu agombee CCM hlf chadema waweke jiwe..basi watu wanachagua jiwe..MOSHA H A P I T I.

Dah, CHADEMA kwa kufuru hamjambo. Mwenyezi Mungu awalipe sawa sawa na matendo yenu
 
wana moshi tunamchagua mtu siyo mabango yenu.

Kwa jinsi hali ilivyo, mosha atashinda ubunge moshi mjini, watabiri wa mambo huko moshi wanasema wanahitaji mabadiliko, wamechoshwa na utawala wa chadema moshi mjini, sasa wanahitaji mabadiliko, na dhana ya utani wa mpare na mchagga ndiyo kwa kiasi kikubwa itamfanya mosha ashinde!!
 
Siasa za moshi wanazijua wenyewe wanamoshi na mipango yao kwetu simiyu ni magufuli kwanza mengine baadaye.
 
Back
Top Bottom