Yale mabango ni pesa zinaingia kwenye halmashauli yetu, Kwahiyo alete mabango mengi tu..tutachukua pesa. Tunaenda kulipia ada watoto wasio na uwezo.. Kampeni wamefungua jana, kaja kinana, olesendeka, sijui nani,, chadema wamezindua kampeni na ndesa pesa tu..hiyo tosha ni kuwa Mosha Hawezi mziki wa chadema moshi.. Mama minde alipigiwa kampeni na mkapa, na viongozi wote wa ccm alikimbia asubuhi tu...Mosha Ajui kama Mwenyekiti wake kikwete alikuja moshi miezi minne nyuma,, akamsifia jafarry Michael kuwa kafanya kazi kubwa, akampongeza sana mbele ya viongozi wote wa chama chake na viongozi wa mkoa,, leo Mosha uje na pesa zako za kugawa tukupe ubunge? Huna hata duka la kuuza soda moshi... Jafarry kawapa ajira vijana watu.. Leo hii tukupe ubunge sahau.. Sasa kampeni tayari.. Sijui nani anasaidia kufanya mikutano maana, watakula pesa yako yote na utagundua umeliwa....... Pole