Paka sasa upepo WA moshi MJINI unaonesha Davis mosha wa chama cha mapinduzi CCM anakubalika kwa vijana NA wazee..vile vile dhana ya ukabila inaweza kujitokeza baina ya wagombea hawa..sijui kama wachaga watakubali kuongozwa na mpare?Abel sere 4m moshi town