CHADEMA wanaweza kupoteza jimbo la Moshi Mjini

CHADEMA wanaweza kupoteza jimbo la Moshi Mjini

Abel 2015

Senior Member
Joined
Sep 5, 2015
Posts
112
Reaction score
55
Paka sasa upepo WA moshi MJINI unaonesha Davis mosha wa chama cha mapinduzi CCM anakubalika kwa vijana NA wazee..vile vile dhana ya ukabila inaweza kujitokeza baina ya wagombea hawa..sijui kama wachaga watakubali kuongozwa na mpare?Abel sere 4m moshi town
 
Hapa moshi hata Yesu agombee CCM hlf chadema waweke jiwe..basi watu wanachagua jiwe..MOSHA H A P I T I.
 
We kama umekula hela ya davis mosha endelea kumpamba lakini hapati
 
wana moshi hatuwezi kumchagua Mosha asiyeyajua matatizo yetu. yeye ana fanya biashara zake dar hayajui matatizo yetu alafu tumpe ubunge??

haitatokeaa.


kura zote kwa Jafarii.....
 
Watu wa moshi watapokea kofia na kanga za ccm lakini kura ni chadema
 
Jafary Michael ni Mbunge wa Moshi Mjini Tangu sasa
 
Kweli Mosha kajipanga, ukikanyaga mjini lazima u-feel uwepo wake. Kajaza mabango kila nguzo, mabango yaliyoandaliwa kwa ustadi sana. Big up Mosha, huyo ndo uanaume.
 
Jimbo la moshi halitaenda ccm. Tafuteni pengine siyo moshi
 
wana moshi hatuwezi kumchagua Mosha asiyeyajua matatizo yetu. yeye ana fanya biashara zake dar hayajui matatizo yetu alafu tumpe ubunge??

haitatokeaa.


kura zote kwa Jafarii.....

Mcheza kwao hutuzwa! Wachaga wanajuana, unafikiri kwa nini mnyika kahama ubunge kaenda kugombea kibamba? Undugunization inahusika sana pande zetu.
 
Jimbo la moshi halitaenda ccm. Tafuteni pengine siyo moshi

Arusha mjini pia mmekamatika na Monaban, wamasai wanasema kura tatu ni: ULIPO, TUPO kama Masai iko mwaga wino mpaka kiboksi ijae.
 
Kweli Mosha kajipanga, ukikanyaga mjini lazima u-feel uwepo wake. Kajaza mabango kila nguzo, mabango yaliyoandaliwa kwa ustadi sana. Big up Mosha, huyo ndo uanaume.

wana moshi tunamchagua mtu siyo mabango yenu.
 
Back
Top Bottom